Ewaaaaa we kijana una mabig brain umenipata bila mawimbi!!
hivi ali kiba yupo wapi siku hizi
mjibu vizuri bana anaweza kua mmoja wa shabiki wa ally, the guy was quite for sometime inawezekana hajui alipo so jibu kiungwana tu...!Akili za kimbea +za kutumwa= ukosefu wa nyota kama king'ast cha zal la mental
hivi ali kiba yupo wapi siku hizi
Yupo tu anatia huruma,majuzi hapa katumbuiza viti uingereza ye na mdogo wake.
Yupo tu anatia huruma,majuzi hapa katumbuiza viti uingereza ye na mdogo wake.
nawamiss sana nimetingwa nna harusi ya sister jamani miss u sana
nawamiss sana nimetingwa nna harusi ya sister jamani miss u sana
Hahahahaaaa! Ni kama remix ya Nimpende Nani. Nimekusoma sana wangu.
Ova
Hahahaaaa,zile kauli za hana pesa ya kutoa video eeh?wewe waache tu....nina hamuje nao?
nawamiss sana nimetingwa nna harusi ya sister jamani miss u sana
Ijumaa naona kama mbaali!!King ataacha marks za kudumu kama kawaida yake I knw!!Naona upepo wa tuzo utafunikwa,lol!
King Kiba sio masikini kwenye kuandika. Kila wimbo uhusika wa kivyake kabisa. Kiba ana kipaji kikubwa sana ndio maana namwelewa. Huwezi kufananisha melody wala msitari wowote toka kwenye wimbo huu hadi kwenda wimbo mwingine.
Ova
Yupo tu anatia huruma,majuzi hapa katumbuiza viti uingereza ye na mdogo wake.
Matumbo Wewe ni kati ya wakongwe humu sasa unapopotosha na kuleta ushabiki unafanya warumi aonekane bora humu celebrity forum
Ally alikua na orijino comedy kwenye show ya acccacia kule mgodini bulyanhulu,na hata Abdul atakapoimbia tena viti kama unavyosema hapo tar 20huko mbele,yeye atakua jembe ni jbe mwanza kwenye show ya red cup pamoja na joh makini.
Tar 31 atakua Mombasa na at,shaa,redsun na brick n lace.
Chuki zako zisizo na sababu kwa kiba usiwe sababu ya kudanganya watu humu
Yeah kauli kama hizo na zinazofanana na hizo hasa hasa wale wanafiki wanaojifanyaga wanawapenda wote huku wanampondea Kiba in the name of kukosoa. geniveros kuna siku alinikomeshea aisee alimchana mmoja wao live . Nilipenda alivyomkomesha!
Hilo halihitaji GPA kubwa. Plus vile vionjo vya baba qayla!
Singependa Kiba aje aexperience hizi hasara za kufanya mambo kwa pupa!
ofcoz anajua sana, management na washauri(wa karibu) tu ndio wanamuangusha, otherwise yaani now tungekuwa tunaongelea anga nyingine kabisaaa, na walaaa watu wasingethubutu kujilingalisha nae(japo hata sasa hawampati), kiba is the best of the best