Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ile video inaangaliwa mwisho Tunduma haivuki mipaka yani siku ya tatu haijafika hata views 100k!director yupo vizuri ila tatizo ndugu yetu ameenda na bajeti ya glanza
 
Nimeingia YouTube kutafuta video ya mwana nimemkuta mbuta nanga anacheza wimbo WÅ mwana!! Nimechekajeee!! Huyu mama zinamtosha mwenyewe
 
Ile video inaangaliwa mwisho Tunduma haivuki mipaka yani siku ya tatu haijafika hata views 100k!director yupo vizuri ila tatizo ndugu yetu ameenda na bajeti ya glanza


Tehh tehh tehh,ulitaka akatoe 48ml then aje ajitangaze???keshakua haruhusiwi kufanya utoto huo.

Kama video imekuboa,nenda kaendelee kuhesabu views za jamaa yako zikifika mill 80 mwambie akupe nawewe ukanunulie X5 au prado.

Achana na king.
 
Siijui labda unijuze. Mnasifia ujinga huku video inaboa hvo?Mwacheni Kiba afanye yake anavojua yeye kwan mwanzo alpokuwa anahit mulihusika kwa lipi. Musimlazmishe kushindana.Kwakweli mnamdhalilisha bure.Dah,kaka wawatu anakata mauno na kushake kama biyonce kisa ushindani. Sio fair kabisa mnavompelekesha jamaa.


Tehh tehh tehh.

Nawewe ulitarajia kumuona mwana anayeimbwa!!?

Vip wimbo wa jamaa yako una muda gani toka utoke,maana siusikii hata kwenye boda boda!!au mpaka niende kwenye white part?
 
Na bado watatokea watu fulani watajitia hawajakuelewa. Ulichosema ni kweli, watu wanamtafutia ushindi Nassib kwa Kiba wakitumia vitu vidogo vidogo sana.
Yaani wakati mwingine naona huu utoto unafanywa humu wadogo zetu wakijua ID's zetu wataendelea kutuheshimu kwa mapni yetu tunayoweka humu JF?!
Wanamuziki wshindanishe kwa uwezo wa kuimba ama kwa kuandika, maana hizo ndizo kazi za mwanamuziki, na ndicho kipimo chao stahiki kabisa.
Lakini watu wamehamia kwa viewers wa YouTube ambazo zinahesabu kujua nani katazama bila kujua alifika mwisho kutazama au aliachana nao kwa kuupuuza?
Haya huo wimbo wenye viewers wengi sasa uko wapi? Wimbo umechakaa hata mwezi bado, nasikia anajiandaa kutoa wimbo mwingine.
Dahhhhh! Sijui kwanini Jambo Forums ilikufa?!
Ova

hivi kumbe comparizon wanazifanya wao alafu utasikia sie ndio twawalinganisha!!!
kwanini mwalazimisha kulinganisha maji na mafuta? yana umuhimu ndi ila matumizi tofauti(waelewa wataelewa), kila anachofanya kiba mmemkabaa koo eti anashindana na dai!! kwani tz kuna wasanii wangapi na wanafanya vitu vzr tu mbona hamuwalinganishi?? jibu ni rahisi tu - hakuna anayewanyima usingizi kama kiba na hiyo ni kwavile uwezo wake mnaujua, so mkiona anafanya mambo mazuri mwaumia sana roho na kutafuta kila aina ya chokochoko maana mnajua balaa laja, so nyie acheni kelele nyingi tulieni muone mambo mazuri tena bila papara,kukurupuka,scandals,kutokujiamini na kwa umakini wa hali ya juu, kiba ni kiba na atabaki hivyo, kamwe haitotokea awe mtu mwingine.
 
Oyooooooo,afadhali jamani!Kha....siku ya jana ilikua mbaya kwelikweli!
 
Kuna baadhi ya watu wanaiponda video kisa hawajamuona "MWANA" ina maana kutomuona mwana ndo kuifanye video iwe mbaya??

Yaani kuja kinyume na matarajio ya wengi ndo kumaanishe kuwa kakosea? Wengine wanalinganisha na Nitampata wapi yaani mafuta na maji kabisa!

Teh teh.....watu walitaka kumuona MWANA kama Mac.Mugga ...
Ushamba mzigo.
 
ni vigumu kufanya kitu without comparison kwa muziki wa tanzania daimond na kiba ndio wasanii ambao unaweza kuwacompare.... tena locally... international sikusimulii... daimond kampa changamoto ya kimziki ali, kataa kubali, ally asingewaza kwenda kufanya video sauth africa, ali hakuwahi kucheza vizuri kwenye video.... hata stejini alikuwa anapanda bila dancers.... vitu ambavyo daimond alikuwa anafanya three years ago.... ndio maana ninasema for now ali kumfananisha na dangote ni kumwonea the guy yuko miles nyingi sana kumzidi, dai is so international artist, ally achukulie hiyo kama changamoto... aache kuchukulia vitu poa ajifunze kwa watu waliomakini na music industry kama daimond.... sio kusifiwa na watanzania na kenya then anabweteka.... nimeishi kenya mtu wangu, ally kiba na jide ndio waswahili ambao wana hits nyingi, then what??? cha kushangaza daimond anafanya show kwa 5000/= ya kenya,,, almost 72,000/= ya kitanzania na panafulika,,, then anaondoka anawaacha wanaendelea ku hit ye anapiga pesa.... kiba ajifunze sana kwa daimond, uwezo wa kujibrand... kutembea na team ambayo inasaidia kuwa update fans wake kila situation inayotokea kwake.... kuwa na crew yake, dancers wake ambao anafanya nao mazoezi na ahakikishe kama promoter atamwitaji kwa show aweze kugharamia crew yake, tumechoka kumsifia kuwa anasauti nzuri, tunataka kumwona anatamba kimataifa si kingine, kwenye sanaa yupo zaidi ya miaka kumi imetosha kutuburudisha, anahitaji kufikilia jinsi ya kusonga mbele.. at least daimond kaonyesha kuwa mafanikio yanawezekana hata kwa lugha yetu bila kumix na lugha yao.... nitamweshimu daimond kwa sababu ana spirit ya kuangalia mbele zaidi... tunahitaji ratiba ya show ya celebs zetu ziwe ni.... da>Lagos>capetown>abuja..... sio arusha>nachingwea>lindi>mtwala.... naamini umeelewa namaanisha nini, naamini kuna watu ambao wanakutana na wanaongea na ally yaweza kuwa wewe pia, tusitumie muda mwingi kumsifia jinsi anavyofunika mtaani bali tumshauli kwamba this time akikutana na the like R_kerry, 2face idibia ajaribu kushare nao utanzania wake ili utanzania wake ujulikane mpaka nchi za watu.... kama umehisi niko hapa kwa kumkandia kiba, ni mtazamo wako but siamini kama kiba anafurahishwa na kusiwa kuwa anahit bcoz ni jambo alilolizoea from cindelela hajawahi kuachia nyimbo haijahit... sasa inabidi tumsifie msanii wetu kwa kufanya kitu kipya

Ni kweli ulichoongea, wakati mwingine mashabiki ndio uwaangusha wasanii wetu.
 
Kama yepi hayo?

Kwani wewe umeelewaje??Abeg am not the enemy ooh!!Namaanisha mambo ya PM,kwani samwel Kiwelu hukusikia kuwa alianzana na Matola Pm hakujibiwa!akaja kumwaga radhi hapa!!Mtafaruku ukatokea!!au wewe una tafsiri gani?mambo yote ya Pm jamani za kuambiwa changanya na zako!
 
Hilo sio jibu,ndio maana nimeuliza

Mhu kama unadhani nipo kulee nlipokwambia wewe na mwenzio kuwa mwende PM walaaa yani sipo kabisa!!U have the freedom to do as you wish!Usinichukie bureee simaanishi nyie,hayo mambo personal hayanihusu nazungumzia mambo ya 'mtafuruku' plz!
 
Kwani wewe umeelewaje??Abeg am not the enemy ooh!!Namaanisha mambo ya PM,kwani samwel Kiwelu hukusikia kuwa alianzana na Matola Pm hakujibiwa!akaja kumwaga radhi hapa!!Mtafaruku ukatokea!!au wewe una tafsiri gani?mambo yote ya Pm jamani za kuambiwa changanya na zako!

Nifah and Ms.Licoln cc wote ni kiba fan so amani itawale juu yetu
 
Kwani wewe umeelewaje??Abeg am not the enemy ooh!!Namaanisha mambo ya PM,kwani samwel Kiwelu hukusikia kuwa alianzana na Matola Pm hakujibiwa!akaja kumwaga radhi hapa!!Mtafaruku ukatokea!!au wewe una tafsiri gani?mambo yote ya Pm jamani za kuambiwa changanya na zako!

Mhu kama unadhani nipo kulee nlipokwambia wewe na mwenzio kuwa mwende PM walaaa yani sipo kabisa!!U have the freedom to do as you wish!Usinichukie bureee simaanishi nyie,hayo mambo personal hayanihusu nazungumzia mambo ya 'mtafuruku' plz!

My dear Ms.Lincoln nimeuliza tu mumy,thou nilihisi kua ni yale ya juzi waliyoyaleta wale wajinga hadi wakatuondolea mood ya kufaidi video ya King wetu Kiba.
Ndio maana nimekuuliza ili udadavue vizuri watu waelewe kua issue za familia sio za kuleta JF.
How can I hate you dear?c'mon....
I love you as my fellow Kiba fan,tupo hapa kufurahi na kushare mambo yote yanayomhusu Kiba,chuki ziwepo za nini?
Sisi ni familia sasa,nawapenda hakuna mfano.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom