Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile video inaangaliwa mwisho Tunduma haivuki mipaka yani siku ya tatu haijafika hata views 100k!director yupo vizuri ila tatizo ndugu yetu ameenda na bajeti ya glanza
Nimeingia YouTube kutafuta video ya mwana nimemkuta mbuta nanga anacheza wimbo WÅ mwana!! Nimechekajeee!! Huyu mama zinamtosha mwenyewe
Siijui labda unijuze. Mnasifia ujinga huku video inaboa hvo?Mwacheni Kiba afanye yake anavojua yeye kwan mwanzo alpokuwa anahit mulihusika kwa lipi. Musimlazmishe kushindana.Kwakweli mnamdhalilisha bure.Dah,kaka wawatu anakata mauno na kushake kama biyonce kisa ushindani. Sio fair kabisa mnavompelekesha jamaa.
Moderator unganisha thread zote za Ally Kiba sasa!
Sasa itakuwa busara mambo ya PM yakibaki pm,angalizo tuuu!
Bora uzi wetu umefunguliwa yeraaaaaa
Na bado watatokea watu fulani watajitia hawajakuelewa. Ulichosema ni kweli, watu wanamtafutia ushindi Nassib kwa Kiba wakitumia vitu vidogo vidogo sana.
Yaani wakati mwingine naona huu utoto unafanywa humu wadogo zetu wakijua ID's zetu wataendelea kutuheshimu kwa mapni yetu tunayoweka humu JF?!
Wanamuziki wshindanishe kwa uwezo wa kuimba ama kwa kuandika, maana hizo ndizo kazi za mwanamuziki, na ndicho kipimo chao stahiki kabisa.
Lakini watu wamehamia kwa viewers wa YouTube ambazo zinahesabu kujua nani katazama bila kujua alifika mwisho kutazama au aliachana nao kwa kuupuuza?
Haya huo wimbo wenye viewers wengi sasa uko wapi? Wimbo umechakaa hata mwezi bado, nasikia anajiandaa kutoa wimbo mwingine.
Dahhhhh! Sijui kwanini Jambo Forums ilikufa?!
Ova
Sasa itakuwa busara mambo ya PM yakibaki pm,angalizo tuuu!
Kama yepi hayo?
yote ya pm
Kuna baadhi ya watu wanaiponda video kisa hawajamuona "MWANA" ina maana kutomuona mwana ndo kuifanye video iwe mbaya??
Yaani kuja kinyume na matarajio ya wengi ndo kumaanishe kuwa kakosea? Wengine wanalinganisha na Nitampata wapi yaani mafuta na maji kabisa!
ni vigumu kufanya kitu without comparison kwa muziki wa tanzania daimond na kiba ndio wasanii ambao unaweza kuwacompare.... tena locally... international sikusimulii... daimond kampa changamoto ya kimziki ali, kataa kubali, ally asingewaza kwenda kufanya video sauth africa, ali hakuwahi kucheza vizuri kwenye video.... hata stejini alikuwa anapanda bila dancers.... vitu ambavyo daimond alikuwa anafanya three years ago.... ndio maana ninasema for now ali kumfananisha na dangote ni kumwonea the guy yuko miles nyingi sana kumzidi, dai is so international artist, ally achukulie hiyo kama changamoto... aache kuchukulia vitu poa ajifunze kwa watu waliomakini na music industry kama daimond.... sio kusifiwa na watanzania na kenya then anabweteka.... nimeishi kenya mtu wangu, ally kiba na jide ndio waswahili ambao wana hits nyingi, then what??? cha kushangaza daimond anafanya show kwa 5000/= ya kenya,,, almost 72,000/= ya kitanzania na panafulika,,, then anaondoka anawaacha wanaendelea ku hit ye anapiga pesa.... kiba ajifunze sana kwa daimond, uwezo wa kujibrand... kutembea na team ambayo inasaidia kuwa update fans wake kila situation inayotokea kwake.... kuwa na crew yake, dancers wake ambao anafanya nao mazoezi na ahakikishe kama promoter atamwitaji kwa show aweze kugharamia crew yake, tumechoka kumsifia kuwa anasauti nzuri, tunataka kumwona anatamba kimataifa si kingine, kwenye sanaa yupo zaidi ya miaka kumi imetosha kutuburudisha, anahitaji kufikilia jinsi ya kusonga mbele.. at least daimond kaonyesha kuwa mafanikio yanawezekana hata kwa lugha yetu bila kumix na lugha yao.... nitamweshimu daimond kwa sababu ana spirit ya kuangalia mbele zaidi... tunahitaji ratiba ya show ya celebs zetu ziwe ni.... da>Lagos>capetown>abuja..... sio arusha>nachingwea>lindi>mtwala.... naamini umeelewa namaanisha nini, naamini kuna watu ambao wanakutana na wanaongea na ally yaweza kuwa wewe pia, tusitumie muda mwingi kumsifia jinsi anavyofunika mtaani bali tumshauli kwamba this time akikutana na the like R_kerry, 2face idibia ajaribu kushare nao utanzania wake ili utanzania wake ujulikane mpaka nchi za watu.... kama umehisi niko hapa kwa kumkandia kiba, ni mtazamo wako but siamini kama kiba anafurahishwa na kusiwa kuwa anahit bcoz ni jambo alilolizoea from cindelela hajawahi kuachia nyimbo haijahit... sasa inabidi tumsifie msanii wetu kwa kufanya kitu kipya
Kama yepi hayo?
Hilo sio jibu,ndio maana nimeuliza
Kwani wewe umeelewaje??Abeg am not the enemy ooh!!Namaanisha mambo ya PM,kwani samwel Kiwelu hukusikia kuwa alianzana na Matola Pm hakujibiwa!akaja kumwaga radhi hapa!!Mtafaruku ukatokea!!au wewe una tafsiri gani?mambo yote ya Pm jamani za kuambiwa changanya na zako!
Kwani wewe umeelewaje??Abeg am not the enemy ooh!!Namaanisha mambo ya PM,kwani samwel Kiwelu hukusikia kuwa alianzana na Matola Pm hakujibiwa!akaja kumwaga radhi hapa!!Mtafaruku ukatokea!!au wewe una tafsiri gani?mambo yote ya Pm jamani za kuambiwa changanya na zako!
Mhu kama unadhani nipo kulee nlipokwambia wewe na mwenzio kuwa mwende PM walaaa yani sipo kabisa!!U have the freedom to do as you wish!Usinichukie bureee simaanishi nyie,hayo mambo personal hayanihusu nazungumzia mambo ya 'mtafuruku' plz!
Nifah YNWA