Ali Kiba Fans' Special Thread...

Eheee huo huo, yaani nyimbo za mwana ni shida tupu.

Tupu...vipi umesahau Mac Muga?Karim je???waulize hao wanaompigia kelele mtu wao ana wimbo gani usiokua wa mapenzi umehit kama hizo hapo...
 
Daaa kuna vituko sana humu! Mimi napenda ushindani huu uendelee mkizingatia kuto sahau kununua kazi zao!
Kule WWW.mkito.com nyimbo ya Mwana Fa feat Alikiba inaongoza kwa kupakuliwa hadi sasa!

Mtifuano wa namna hii inasaidia wasanii kuto bweteka kabisa nakujua kuwa kuna upinzani kutoka kwa wengine!

Nilitegemea Matola hapo juu kwenye thread uweke website link ya mkito.com na uwaimize mashabiki wake kununua nyimbo zake.

Hata wale wa diamond nilitegemea wafungue Uzi kuhamasisha wenzao kununua nyimbo za Dianond maana haya ya kuwasifu yanaweza yasiwasaidie kabisa lakini ambacho mashabiki mnaweza kufanya ni kununua nyimbo zao na huo ndio utakuwa upendo wa kweli na ushindani ulio na tija
Shindaneni kununua nyimbo zao!

Tafadhali msitoane macho
 
Last edited by a moderator:
Mi alinikunaga kwenye wimbo huu pia na una maana sana.
"Yule alie kupa wewe, ndo kaninyima mimi, na kama riziki anatoa yeye........ ila Mungu ndo anatoa hata kwa foleni hata kama niko nyuma nitapata lazima."

Kwa kutunga mistari na mukubali aisee inafundisha sana kama ule wa makimuga
 

Umesomeka na mashabiki wote wafuate hii link tukutane huko mimi natangulia kabisa kwenda kupakuwa mzigo wangu.
 
Last edited by a moderator:
Hivi umepiga mswaki leo au umeibiwa mume nini kila mtu wamuona gume gume humu ndaniiiπŸ˜•πŸ˜•πŸ˜•πŸ˜•

Gume gume lingine huku!!Nipo kishabiki zaidi,tafuta mijimama yenzako muaibishane naomba po ktk hili...
 
Ukaanza kulewa madawa kuvuta kwa sana...
Ndani ya Daresalaam mambo matamu hayakukwisha...

Hamu....wewe bado mtoto wa mama hujayajua mengii
Mwenda tezi na omo marejeo ngamaniiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…