Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

kupiga kura hampigi kazi kuja kupiga kelele humu...haya sasa ndomo wenu keshaikosa tuzo wamechukua sauti soul
 
[/IMG]Kupiga kura hampigi kazi kuja kupiga kelele humu...haya sasa ndomo wenu keshaikosa tuzo wamechukua sauti soul

Na kiba keshakosa mara ngapiiii nampenda kiba mie ananisikitisha kweliii anavyolala lala wenzie wanaitwa kushindania tuzo
 
Na kiba keshakosa mara ngapiiii nampenda kiba mie ananisikitisha kweliii anavyolala lala wenzie wanaitwa kushindania tuzo

Hata mimi ananikera kweli (nadhani ni wote wanaompenda Kiba) ndio maana ya kuanzishwa hii thread kama sehemu ya kujadiliana tujue tutamsaidia vipi...
 
Mama hao ndo magumegume yaloshindwa na mtume hutowaweza!kwa mtindo huu Kiba ikitokea akaja aje na vifaru la sivyo atachanganyikiwa na upole wake!

Hivi umepiga mswaki leo au umeibiwa mume nini kila mtu wamuona gume gume humu ndaniii😕😕😕😕
 
Hata mimi ananikera kweli (nadhani ni wote wanaompenda Kiba) ndio maana ya kuanzishwa hii thread kama sehemu ya kujadiliana tujue tutamsaidia vipi...

Haya ndio mapointi banaa umeona eee tunaanza kuelewana sasa au sio mbebezi wa ukweee,kiba amka sasaaa..
 
Hivi umepiga mswaki leo au umeibiwa mume nini kila mtu wamuona gume gume humu ndaniii😕😕😕😕

Kha,hebu muwache dada wa watu jamani...msione mtu anampenda Kiba mnamvamia...
 
Back
Top Bottom