Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Haaaa wewe sikupi utamtukana bure,matola block huyu mtu 😀
Matola anaanzaje kuni block... Mpwa wangu huyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaaa wewe sikupi utamtukana bure,matola block huyu mtu 😀
Ndo makosa yenu kufananisha usiku na mchana.....kisa tu mbalamwezi.
Eng'washii
I see!!.......
Mlemwhala? Naona una furaha ya ajabu kulikoni dada yetu?
Hhhhaaaaaaaaa mi ni secretary wa msukuma wangu
Mama hao ndo magumegume yaloshindwa na mtume hutowaweza!kwa mtindo huu Kiba ikitokea akaja aje na vifaru la sivyo atachanganyikiwa na upole wake!Mnafiki ni mnafiki tu hana namba iwe 1 au 100 ndio yuleyule....hivi anayeweweseka hapa ni nani???rudi pale mwanzo wa thread uone niliitwa hapa na Matola sio wewe unayejipendekeza...hujaitwa unakuja ukiitwa je????
Nalemhola dohoo, nipo nafuraha tu sina cha kunichukizaa !
Hongeraaaaaa,kazi nzuri
Matola anaanzaje kuni block... Mpwa wangu huyo
Sanaaaaa naipenda mpaka nahisi baridi u know
Hhhaaaa ila tukubali Dai nomaaaa
Poapoa, wacha niendelee kucheki tom and jerii hapa jf
Noma kwa Wema......
Na hajui kama niko mawindoni ku-update status yako.
wimbo mmoja umefunika nyimbo kumi za dadamondi
Watapiga deki bahari........atayejipendekeza tunakata kinembez