Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Aaaaaaah umenichekesha eti ndo mashabiki wa ndomo hao hawajui kuandika, ebu nitafute pemben nikupe zawad yako

Bina nimekumiss kwanza hujambo jana ukatudanganya ubuyu ubuyu ubuyu wapii kila saa tunachungulia uzi mpya, ulituweza ulitukomeshaje nasema hivii warumi Nyoko Zako (mama wema's voice
 
Last edited by a moderator:
Bila shaka hii bifu ndio inamtoa kiba mafichoni hahhahah lemutuz naye azishe bifu na diamond ili awe juu hahahahh diamond anajituma na kutafuta skendo ili awe juu u known Ali kiba anatafuta kick kipitia diamond ......

Aendelee kutafuta skendo.....ila kama mpenz wa skendo mbona kuzomewa nayo ni skendo ila hataki.
 
Ha ha ha!mbavuuuu zanguuu!!atulize niniii!This thread ni special kwa fans wa Ally K,wamekuja wavamizi wapenda shobo na ugomvi!wanatoa mapovu na kutetemesha midomo!...haa haa

Hahahaaaaa wewe acha tu mpenzi...shobo tu zimezidi,nimewaita wanafiki wangu Dinazarde na PAULA kilaki ambao nilianzana nao tokea jana nashangaa wengine wamedandia...ndio akitulize
 
Last edited by a moderator:
Bila shaka hii bifu ndio inamtoa kiba mafichoni hahhahah lemutuz naye azishe bifu na diamond ili awe juu hahahahh diamond anajituma na kutafuta skendo ili awe juu u known Ali kiba anatafuta kick kipitia diamond ......

Kiba ajipange atamfikia tu mtoto wa Tandale Kim nana nzogo shiii haliii
 
Last edited by a moderator:
Ndio ukubali kua wewe ni mnafiki...iniume kwani hii thread ni mume wangu???yeye peke yake ndiye anayeniumiza...tuliza kinyeo acha kujipendekeza...

Ongeza bidii hii hatoshi ikiwezakana ikiwezekana mnyime k mmeo ili muda wote uwe jf kukuzabifu.
 
Hahahaaaaa wewe acha tu mpenzi...shobo tu zimezidi,nimewaita wanafiki wangu Dinazarde na PAULA kilaki ambao nilianzana nao tokea jana nashangaa wengine wamedandia...ndio akitulize

Daimond katoa nyimbo umeisikiaa ni kiboko ya magari mabovuuu aiseee ,ni noumaaaa ni bhiatateeeee
 
Last edited by a moderator:
Aendelee kutafuta skendo.....ila kama mpenz wa skendo mbona kuzomewa nayo ni skendo ila hataki.

Hajaikataa, tena kaipenda kwelii huonii anaongelewa yeye tu Daimond yaan utafikiri alizomewa Kiba aiseee nouma sanaa
 
kuna ulebwa hii dunia si mbaya binadamu ndio wabaya .muogope Mungu kibela
 
Back
Top Bottom