Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Aaaaaaah umenichekesha eti ndo mashabiki wa ndomo hao hawajui kuandika, ebu nitafute pemben nikupe zawad yako
Bina nimekumiss kwanza hujambo jana ukatudanganya ubuyu ubuyu ubuyu wapii kila saa tunachungulia uzi mpya, ulituweza ulitukomeshaje nasema hivii warumi Nyoko Zako (mama wema's voice
Last edited by a moderator: