Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Kuna special thread ya ndomo mliianzisha ukaniona???tulia bibi hii ngoma si yako acha kudandia gari kwa mbele...

Sisi hatuanzishi mnaanzisha wenyewee thread,haya bibi mwenzangu nimeacha dandia
 
Haaaaaaaaaaaaa its not a laughing matter ila yanipasa kucheka........

MNAFIKI nambari moja nimeingia... endelea kuweweseka nishasema sibanduki

halafu kama matusi nayaweza saaaaaaaana..., umeishiwa hoja unaanza kutukana BUHAHAAAAAA
 
Alikiba amekana mashairi ya wimbo wa ''Mwana'' kumwimba msanii mwenzake diamond. Wimbo huo ukiwa unatamba kwenye mitandao ya kijamii huku kila mstari ukitafsiriwa kama fumbo kwa diamond

Alikiba alisema ujumbe uliopo katika wimbo huo ni somo kwa jamii nzima yaTanzania kwani yale aliyoyazungumza yamekuwa yakitokea.

''Watu wamekuwa wakikuza mambo kwa lengo la kuchochea tofauti zetu, sikufikilia kumtungia Diamond, mi nimetunga nyimbo kufikisha ujumbe kwa kila rika'' alisema Kiba.

''Kwahiyo watu msitugombanishe na Diamond maana namuheshimu ka msanii mwenzagu wa kigoma''
 
Ndio ukubali kua wewe ni mnafiki...iniume kwani hii thread ni mume wangu???yeye peke yake ndiye anayeniumiza...tuliza kinyeo acha kujipendekeza...
Ha ha ha!mbavuuuu zanguuu!!atulize niniii!This thread ni special kwa fans wa Ally K,wamekuja wavamizi wapenda shobo na ugomvi!wanatoa mapovu na kutetemesha midomo!...haa haa
 
Hahahaaaa na aje tu nina hamuje nae sasa???Sijui ni msambaa yule anapenda kesi hatariiii

Namsubiri aje mbishi yulee hhhhaa eti msambaaa we mtanie tu akija hapa namuachia uwanja
 
Huyo roho nyeusi anasema nitakufa mdomo wazi,nadhani yeye ndo ibilisi,ila namshangaa!hawezi ushabiki hadi aweke mambo ya kutokwa uhai!!nimemsamehe paula kilaki bure,siku za uhai azidishiwe!,nampenda kiba na paula pia!Kwa kuondoa roho ya kwanini asikilize kimasomaso!Hafi mtu hapa!!

Umpende na Diamond sawa bebito
 
Ndo shabiki wa diamondi hao, hata usiangaike nao, maana boss wao hana elim, hana hekima, hana busara.
Tulichoka na huu upuuzi wa diamondi bora king katambulika mchana kweupeeee, nimefurahi sanaaa

Aaaaaaah umenichekesha eti ndo mashabiki wa ndomo hao hawajui kuandika, ebu nitafute pemben nikupe zawad yako
 
Mpwa nina sababu zangu nzuri tu kwa nini simtumii Sugu anipe namba ya huyu dogo, siwezi kuziweka wazi hapa. Ila nitaipata namba bila shida mimi ni mtoto wa mjini.
Matola t shirt zimetoka,nikupe namba za kiba mimi ninazo
 
Last edited by a moderator:
Shangaaaaa ndomo noumaaa sanaaa

Bila shaka hii bifu ndio inamtoa kiba mafichoni hahhahah lemutuz naye azishe bifu na diamond ili awe juu hahahahh diamond anajituma na kutafuta skendo ili awe juu u known Ali kiba anatafuta kick kipitia diamond ......
 
Mnafiki ni mnafiki tu hana namba iwe 1 au 100 ndio yuleyule....hivi anayeweweseka hapa ni nani???rudi pale mwanzo wa thread uone niliitwa hapa na Matola sio wewe unayejipendekeza...hujaitwa unakuja ukiitwa je????
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom