Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Nihaoooooooooooo, hivi tunavyoongea Mkulu yupo Beijing kuipiga bei gesi yetu

Kwa upande wangu mimi sina tatizo tangu jana natafuta namba ya Kiba sijapata na yeye bado hajarespond msg yangu kupitia facebook messenger.

Si unajuwa haya ni mambo ya kibiashara huwezi kufanya kitu bila kukaa mezani na muhusika ni maharamia tu ndio wanafanya biashara bila kumshirikisha muhusika.

Ninachokifanya sasa ni quotation ya China, South Africa na Tanzania then nitaweka vitu mezani na nataka nijuwe yeye ana strategy ipi, maana inaonekana huyu jamaa ni mzito kidogo kwenye life style. Mimi ukinitumia msg kwenye messenger au e-mail ndani ya dakika 5-10 nakuwa nimeshajibu.

Naweza kukusaidia namba ya allyk km ukihitaji,nawakubali wote wako vzr,dangote anatuwakilsha cc akna kayumba kwa kupambana mpka kutusua,ally ni the bst kwangu.
 
Na wewe Dinazarde acha kuishupalia video ya Kiba wewe...hivi unajua huo wimbo wa mwana aliutunga mwaka gani hadi akaamua kuu release mwaka huu???kwa nini umpangie wakati wa kutoa video?
Video zote alizotoa kama Mac muga ambayo alifanyia south afrika alikuletea bakuli hadi leo utake kumchangia tena???
Au unadhani huyo ndomo ndiye msanii wa kwanza kufanya video nje?Kiba alishafanya kitambo
Tulia tafuta mada nyingine kuhusu video muachie Kiba na management yake wanajua nini wanafanya...ikishatoka ndio urudi kutoa comments zako
 
Last edited by a moderator:
Naweza kukusaidia namba ya allyk km ukihitaji,nawakubali wote wako vzr,dangote anatuwakilsha cc akna kayumba kwa kupambana mpka kutusua,ally ni the bst kwangu.

Ya kunisaidia wala sihitaji, Sugu ni mshkaji wangu sana naweza kumpigia nikaipata hii namba fasta.
 
Ushauri wangu wa leo kwa mfalme,aanze rasmi mkakati yakinifu ya kujua jinsi ya kuliteka jukwaa kwa kuserebuka!,afanye mazoez ya chereography mauno yanachosha,ikiwezekana aajiri hata madansa,ajifunze pia walau kupiga chombo itamsaidi!love u sana,ingawa watu inawauma wakisikia sisi fans tunakutia moyo na tunakupenda!

Nakupendaje sasa?umenifurahisha sana....😛😛
 
Na wewe Dinazarde acha kuishupalia video ya Kiba wewe...hivi unajua huo wimbo wa mwana aliutunga mwaka gani hadi akaamua kuu release mwaka huu???kwa nini umpangie wakati wa kutoa video?
Video zote alizotoa kama Mac muga ambayo alifanyia south afrika alikuletea bakuli hadi leo utake kumchangia tena???
Au unadhani huyo ndomo ndiye msanii wa kwanza kufanya video nje?Kiba alishafanya kitambo
Tulia tafuta mada nyingine kuhusu video muachie Kiba na management yake wanajua nini wanafanya...ikishatoka ndio urudi kutoa comments zako

Hhhhaaaaaaaaa,kwan kuna ubaya sisi kumsaidia kiba jamani si ni upendo tu au,kiba ana majukumu mengi si unaona hata sms hajibu wala email yaan kawakaushia hadi nyie, sijaamini jamanii, sie hatuna chuki kama nyie mchukiavyo ndomo,sie twawapenda wotee nyie mwataka ndomo apotee haiwez tokeaaa yaan ni sawasawa na sisimiz kumfinya Tembo ,we toa ushauri sio kupanikii hivi unafikiri kiba hataki kutoa video ya Mwana anataka sana ila ndio hivyo maskini tumuchangie tu mi nataman aitwe ashindanie tuzo kama ndomo😀🙁
 
Last edited by a moderator:
IKBA ndio nani?mbona mashabiki wa ndomo mna matatizo ya kuandika jamani???
Ivi kiba ana uzee gani?mbona vitu vingine haviingii akilini?haya tuambie ana miaka mingapi??

Shangaa wewe, sasa na mimi mwaka huo ndio niko O-level sijui ataniitaje?
 

Attachments

  • 1414059418012.jpg
    1414059418012.jpg
    33.8 KB · Views: 93
Hhhhaaaaaaaaa,kwan kuna ubaya sisi kumsaidia kiba jamani si ni upendo tu au,kiba ana majukumu mengi si unaona hata sms hajibu wala email yaan kawakaushia hadi nyie, sijaamini jamanii, sie hatuna chuki kama nyie mchukiavyo ndomo,sie twawapenda wotee nyie mwataka ndomo apotee haiwez tokeaaa yaan ni sawasawa na sisimiz kumfinya Tembo ,we toa ushauri sio kupanikii hivi unafikiri kiba hataki kutoa video ya Mwana anataka sana ila ndio hivyo maskini tumuchangie tu mi nataman aitwe ashindanie tuzo kama ndomo😀🙁

Na wewe kwa kimuhemuhe na kimbelefront hivi umekumbuka hata kuvaa chupi leo kweli?
 
Hahaaaaaaaaaaaa Kumpenda Diamond imekua unafiki Buhaaaaaaaaaaaa

kuna watu wanaweweseka vibaya...........
 
Hhhhaaaaaaaaa,kwan kuna ubaya sisi kumsaidia kiba jamani si ni upendo tu au,kiba ana majukumu mengi si unaona hata sms hajibu wala email yaan kawakaushia hadi nyie, sijaamini jamanii, sie hatuna chuki kama nyie mchukiavyo ndomo,sie twawapenda wotee nyie mwataka ndomo apotee haiwez tokeaaa yaan ni sawasawa na sisimiz kumfinya Tembo ,we toa ushauri sio kupanikii hivi unafikiri kiba hataki kutoa video ya Mwana anataka sana ila ndio hivyo maskini tumuchangie tu mi nataman aitwe ashindanie tuzo kama ndomo😀🙁

Dina,sijapanick hata kidogo dia...
Nakushauri acha kuongea usiyoyajua jamani...video ya mwana tayari na inatoka mwezi wa 11
Hivi tokea wimbo wa mwana utoke unajua ni miezi mitatu tu iliyopita?mbona mapema sana kupiga kelele kuhusu video???
 
Ninapendekeza video ya mwana Darisalam izinduliwe uwanja wa taifa au leaders

Kama harusi ya Le Mutuz tu uwanja wa Taifa hautoshi sasa uzinduzi wa mwanadarisalama sijui ni eneo gani litatosha.
 
uwiiiiiiiiiiiiiii

Heeee???kumbe Kiba mdogo hivi jamani?ana miaka 25 tu sawa na diamond....sasa huyo anayemuita mzee ana miaka mingapi?
Ila alianza mziki akiwa mdogo sana
 
Back
Top Bottom