container
Senior Member
- Sep 8, 2014
- 109
- 32
Nihaoooooooooooo, hivi tunavyoongea Mkulu yupo Beijing kuipiga bei gesi yetu
Kwa upande wangu mimi sina tatizo tangu jana natafuta namba ya Kiba sijapata na yeye bado hajarespond msg yangu kupitia facebook messenger.
Si unajuwa haya ni mambo ya kibiashara huwezi kufanya kitu bila kukaa mezani na muhusika ni maharamia tu ndio wanafanya biashara bila kumshirikisha muhusika.
Ninachokifanya sasa ni quotation ya China, South Africa na Tanzania then nitaweka vitu mezani na nataka nijuwe yeye ana strategy ipi, maana inaonekana huyu jamaa ni mzito kidogo kwenye life style. Mimi ukinitumia msg kwenye messenger au e-mail ndani ya dakika 5-10 nakuwa nimeshajibu.
Naweza kukusaidia namba ya allyk km ukihitaji,nawakubali wote wako vzr,dangote anatuwakilsha cc akna kayumba kwa kupambana mpka kutusua,ally ni the bst kwangu.