Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Dada una roho nyeusi mpaka kuombeana vifo!unlike us,tunawaombea mashabiki wote wa ndomo na yeye mwenyewe maisha marefu yalojaa fanaka na afya tele!adui yako mwombee maisha ili aone mafanikio yako,huu ni ushabiki tu usitoe utu na upendo wetu kama binadamu!Ndo maana mnapoanza kutukana tunawadharau tu

embu nitolee unafki wako hapa, nioneshe post yoyote ya ninyi mnaojiita sisi, mliomwombea heri mondi???? wenye ROHO MBAYA KAMA WAKAANGA SUMU NI NYIE MNAOJIITA SISI, MLIYEMZOMEA KIJANA WA WATU KWA JUHUDI ZAKE. narudia tena utakufa macho wazi kwa roho mbaya zenuu, kila kukicha mmekalia kumtukana mondi wa watu, mara malaya utadhania anatumiaga dudu zenu, mara anaringa maneno mabaya juu yake hayawaishi, kuna aliyeandika hapa jf anatamani na anamuomba Mungu kila siku ili mondi afulie, mtu kama huyu kwanini asife amesimama???? ndio ishasema sasa
 
embu nitolee unafki wako hapa, nioneshe post yoyote ya ninyi mnaojiita sisi, mliomwombea heri mondi???? wenye ROHO MBAYA KAMA WAKAANGA SUMU NI NYIE MNAOJIITA SISI, MLIYEMZOMEA KIJANA WA WATU KWA JUHUDI ZAKE. narudia tena utakufa macho wazi kwa roho mbaya zenuu, kila kukicha mmekalia kumtukana mondi wa watu, mara malaya utadhania anatumiaga dudu zenu, mara anaringa maneno mabaya juu yake hayawaishi, kuna aliyeandika hapa jf anatamani na anamuomba Mungu kila siku ili mondi afulie, mtu kama huyu kwanini asife amesimama???? ndio ishasema sasa

Mpigie simu Aly kiba ajiandae tumpeleke South akatoe video nae akashindanie tuzo US
Pesa ishapatikana pia Domo hana roho mbaya nae katoa pesa pia
 
embu nitolee unafki wako hapa, nioneshe post yoyote ya ninyi mnaojiita sisi, mliomwombea heri mondi???? wenye ROHO MBAYA KAMA WAKAANGA SUMU NI NYIE MNAOJIITA SISI, MLIYEMZOMEA KIJANA WA WATU KWA JUHUDI ZAKE. narudia tena utakufa macho wazi kwa roho mbaya zenuu, kila kukicha mmekalia kumtukana mondi wa watu, mara malaya utadhania anatumiaga dudu zenu, mara anaringa maneno mabaya juu yake hayawaishi, kuna aliyeandika hapa jf anatamani na anamuomba Mungu kila siku ili mondi afulie, mtu kama huyu kwanini asife amesimama???? ndio ishasema sasa

Wanaongea sana............ hizo T shirt zikitengenezwa Invisible anipige ban ya miezi 6

Other people were born to hate.......... eti anaringa PESA ZAKE katafuta kwa jasho lake
 
Mwacheni huyo mzee Ali Kiba afanye mambo mengine, kilakitu kinamuda wake, kimziki IKBA muda wake umeisha msilazimishe.

Sent from my SM-G800H using Tapatalk

Inashangza... wenzake wakati wako busy wana make money ye
akawa busy kuzalisha mabinti huko mitaani........, sa hivi ajifanye
The King is back kwa mtonyo gani(In bibi Bomba voice)
 
Wanaongea sana............ hizo T shirt zikitengenezwa Invisible anipige ban ya miezi 6

Other people were born to hate.......... eti anaringa PESA ZAKE katafuta kwa jasho lake

Inashangza... wenzake wakati wako busy wana make money ye
akawa busy kuzalisha mabinti huko mitaani........, sa hivi ajifanye
The King is back kwa mtonyo gani(In bibi Bomba voice)

Mpwa naona umeingia shift ya asubuhi maana hapa wafuasi wa domo wanakesha kuliko hata wahusika wakuu wa wa special thread hii.

Kama unadhani hapa tunapiga blah blah subiri nikutane na muhusika halafu ban ya miezi 6 ujipige mwenyewe.

Ila mimi ungesema Matola ukifanikisha deal la Tshirt nitakureward papuchi hapo ningekuona una confidence. Hebu badili hiyo betting to papuchi.
 
Mpwa naona umeingia shift ya asubuhi maana hapa wafuasi wa domo wanakesha kuliko hata wahusika wakuu wa wa special thread hii.

Kama unadhani hapa tunapiga blah blah subiri nikutane na muhusika halafu ban ya miezi 6 ujipige mwenyewe.

Ila mimi ungesema Matola ukifanikisha deal la Tshirt nitakureward papuchi hapo ningekuona una confidence. Hebu badili hiyo betting to papuchi.

Mpwa nikupe Papuchi wakati una mchuchu wa ukwee JF...
Ungekua Single Boy ninge bet tofauti..,

Video ya mwana Darisalama anatoa lini????
 
Mpwa nikupe Papuchi wakati una mchuchu wa ukwee JF...
Ungekua Single Boy ninge bet tofauti..,

Video ya mwana Darisalama anatoa lini????

Mpwa mambo ya msondo mwachie Gurumo, nami udenda unanitoka, au hujui kauli mbiu yetu SMZ? mapinduziii daimaaaaaaa!!
 

Attachments

  • 1414054533235.jpg
    1414054533235.jpg
    41.5 KB · Views: 106
Mpwa naona umeingia shift ya asubuhi maana hapa wafuasi wa domo wanakesha kuliko hata wahusika wakuu wa wa special thread hii.

Kama unadhani hapa tunapiga blah blah subiri nikutane na muhusika halafu ban ya miezi 6 ujipige mwenyewe.

Ila mimi ungesema Matola ukifanikisha deal la Tshirt nitakureward papuchi hapo ningekuona una confidence. Hebu badili hiyo betting to papuchi.

nimecheka hadi bas
 
Mpwa mambo ya msondo mwachie Gurumo, nami udenda unanitoka, au hujui kauli mbiu yetu SMZ? mapinduziii daimaaaaaaa!!

Oupssssss Mpwa nani kakuruhusu kuweka picha yangu huku...........

Hilo swala la mapinduzi nakukaribisha Changa......, tulijadili lwa makini LOL
 
Mwacheni huyo mzee Ali Kiba afanye mambo mengine, kilakitu kinamuda wake, kimziki IKBA muda wake umeisha msilazimishe.

Sent from my SM-G800H using Tapatalk

IKBA ndio nani?mbona mashabiki wa ndomo mna matatizo ya kuandika jamani???
Ivi kiba ana uzee gani?mbona vitu vingine haviingii akilini?haya tuambie ana miaka mingapi??
 
Hawezi kumshinda Mkulu wa nchi...,
Nihaoooooooooooo, hivi tunavyoongea Mkulu yupo Beijing kuipiga bei gesi yetu
i trust U@Matola tshert please
Kwa upande wangu mimi sina tatizo tangu jana natafuta namba ya Kiba sijapata na yeye bado hajarespond msg yangu kupitia facebook messenger.

Si unajuwa haya ni mambo ya kibiashara huwezi kufanya kitu bila kukaa mezani na muhusika ni maharamia tu ndio wanafanya biashara bila kumshirikisha muhusika.

Ninachokifanya sasa ni quotation ya China, South Africa na Tanzania then nitaweka vitu mezani na nataka nijuwe yeye ana strategy ipi, maana inaonekana huyu jamaa ni mzito kidogo kwenye life style. Mimi ukinitumia msg kwenye messenger au e-mail ndani ya dakika 5-10 nakuwa nimeshajibu.
 
Haya haya nimeingia sasa wanafki wote...naanza na PAULA kilaki naona jana imekuuma sana mimi kusema Kiba ana sura ya upole sasa leo nasema hiviiiii nampenda Kiba miaka 100000000000 andamana sasa au jinyonge kabisa...
Una akili ndogo kama piritoni...labda nikufafanulie hivi wahenga walivyosema ukitaka kumuua nyani usimtizame usoni walikua wanamaanisha ukimtizama utampenda???au utaingiwa na imani hautomuua tena?ndicho nilichokua namaanisha kua watu wana roho mbaya wanamchukia Kiba na kisura chake kile cha upole...sasa kama ulielewa namaanisha nampenda sasa leo nahitimisha kua nampenda sana Kiba...haya jinyonge sasa
Jana nilikua busy naangalia mpira nikakuacha ukajidaaaai sasa leo nimerudi tutakesha hapa...karibu bibi
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom