Wewe mwenye kazi umekuja hapa kukata viuno kutafuta nini?
Nipe kazi ya kukukojoza basi ndio naimudu sana maana inaonekana siku nyingi haujapigwa dushe, nitakunyonya mpaka mavi.
Msamehe mkuu, anatafuta kik kwa nguvu huyooo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mwenye kazi umekuja hapa kukata viuno kutafuta nini?
Nipe kazi ya kukukojoza basi ndio naimudu sana maana inaonekana siku nyingi haujapigwa dushe, nitakunyonya mpaka mavi.
Tulikificha stoo ndo kikapata na vumbi.....!!! Mana ndomo alikua anakililia sana!!! Alilia na mengi,akapatwa na mawazo,akajisifu kuwa yeye ni number one ivo tumpe kiti,akalalama eti tatizo kwao mbagala,akaondoka akasema atarejea,akanambia atanihonga Pete,nikamkatalia akasema eti moyo wake umemponza,akajamdogomdogo ili akiibe,lakini alivofika akangusha madumu yake tukaskia bum bum.... Toka hapo tukastukia tukamwambia mfalme njoo tunakuletea kiti chako......... Umeelewa kwenye kiti kilikuwa?????
haaa??? kumbe umeolewa?? alafu unamlegezea sauti kiba hivihivi tena hadharani??? niitieni mume wa nifah jamani apite hapaaa, lazima leo mtu apewe ban ya ndoa, uuuuuwiii, i cant went, embu soma tena ile post yako, eti unaanzaje kumchukia kiba jamani?? AKIKUANGALIA NA ILE SURA YAKE YA UPOLEE, yaani hapo pa AKIKUANGALIA kama nakuona na macho ulivyolegeza, uuwii uuwii uwiii mume wa nifah pita hapa umulike mwizi meeeen kiba will ruin your marrage soon.
hahahahaa embu sisi tuendelee kujionea vutuko humu ndani, hawa ndio wanaojiita team kiba tena front line vilaza wooote, huyo kiba ataacha kufulia kweli.
Heheheheeeeeee sitarajii kuona swali hilo likiulizwa tena labda kwa wenye akili za kwendea chooni tu!
mnyaki dada unanikosha kweli!
Jifunze kuandika kwanza
Marrage= Marriage.
Huo wimbo mimi hata kuusikia sijawai pamoja na kubebwa kote.Sie tuna mpango wa kumchangia pesa atoe video ya mwana, wataiona soon sio blah blah
Mada huijui utang'ka nayo kupost kila baada ya dakika tatu!basi hujielewiii..msinisingizie aaakuu nimtoe kwenye mada na mtu mwenyewe hata hajui mauthui ya mada ni yapi??? muulize lengo la mleta mada kama analijua, embu msinichekeshe
wee umemtokea wapi 20% kama jipu la ta.ko??? kweli mmevurugwa
Hahahha English English English, lol tuandkeni kiswahil tu watu wataelewa! bianca 18 njoo ujifunze English huku et she can't went. ... (sijaelewa ndyo mana naquote, so usije kwa vimatus cz hapa mahala pake)
Dada una roho nyeusi mpaka kuombeana vifo!unlike us,tunawaombea mashabiki wote wa ndomo na yeye mwenyewe maisha marefu yalojaa fanaka na afya tele!adui yako mwombee maisha ili aone mafanikio yako,huu ni ushabiki tu usitoe utu na upendo wetu kama binadamu!Ndo maana mnapoanza kutukana tunawadharau tuand they will die their eyes open.
Ushauri wangu wa leo kwa mfalme,aanze rasmi mkakati yakinifu ya kujua jinsi ya kuliteka jukwaa kwa kuserebuka!,afanye mazoez ya chereography mauno yanachosha,ikiwezekana aajiri hata madansa,ajifunze pia walau kupiga chombo itamsaidi!love u sana,ingawa watu inawauma wakisikia sisi fans tunakutia moyo na tunakupenda!
Me huwa nawaangaliaga tu........kwani kiswahili huwa hakijitoshelezi??
Umeona ee,basi na sie mashabiki tuache kununua CD za kuburn na kurushiana tu nyimbo,tumuunge mkono kununua kazi zakeee atiii!Ushauri huu aliutoa mtu mwema kule juukweli kabisa asibweteke tena aanze kazi afanye mziki kazi sio mapenzi,sio ubitozi...!!
afanye kweli kwenye game
wamevurugwa walidhani akidi haitatimizwa
so ngoma inaenda kimtindo bila hata kuunganisha
thread