Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Hhhhhaaaa kwanini mnatumia nguvu??
Hivi Kiba ana tuzo ngapii vilee CC Paula kilaki
Na nyie kwanini mnatumia nguvu kwenye uzi wa kiba ka si munaumia after all uzi hausu tuzo kama ni tuzo Jide anazo nyingi nyie pia hamjakatazwa kumshabikia daimond tena mgeanzisha uzi wake ingekua vema ila hapa kuja kwa kiba kuna hidden agenda either lack of peace of mind you need to rest first sasa hapa naona mwaha ngaika why ????????? Hadi nimeshangaaa mhhhh
Last edited by a moderator: