Ali Kiba Fans' Special Thread...


Nasubiri na wala sitakasirika kwamaana tunataka tuonyeshe ulimwengu kwamba Tanzania tunaweza. Kumuachia dimondi na ay pekee kupeperusha bendera si jambo zuri
 

We umeanza kuujua mziki baada ya mfumuko wa Tecno hapa Tz
Kipind kiba anabeba BEFFTA ulikua wapi ?
Kipindi anakua nominated kwenye tuzo kubwa kama Kora ulikua wapi ?

Hata hvyo hapa tunataka uwe kijana anayecmamia kwenye maneno yake ulisema "hyo video ikipata viewers laki moja najiua "
Natamani utimize ahadi yako .
Nashangaa unajipitisha pitisha bila aibu !!
Ningekua mm n ww nicngeingia umu kwa kiba's fans
Hivi uoni aibu na vitabia vyako vya kike ?

AY ni walewale tu ana Nyota ya kinyesi
Watu wakimuona wanatema mate
Na mafanikio yake ayatokan na mziki acha kukariri .
Wimbo wake wa Touch me Una siku 17 tu ila kimya
NB: katika maisha usishindane na mtu wa watu utapata aibu ya karne
Kiba💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟💟
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…