Abou Saydou
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 2,947
- 2,108
khaaaa!! mambo gani tena hayo? nayeye kwanini anawaachia watu wasojielewa kuwa na hizo nyimbo ambazo hazijawa relized?
here i am
Come 🚶🚶
Ao ndio watu walioproduce izo ngoma mfano pita mbele na hiyo hela
Wasanii wengi wana tabia baada ya kutengeneza wmbo wanawapa watu wao wa karibu wasikilize kama upo poa ,apo ndio mtihan unapkuja
Aliyepewa kuckiliza na yy atampa rafiki ake ,rafiki ake atampa mtu wake na mtu wake atampa Shoga ake at the end utauona Kwenye blongs za watu
allready here
Shukrani kwa zawadi mkuu.
Ova
Kiba wengi sn wanamkubali ila hawajijui tu, wananifurahishaga wanavyomkubali kishingo upande huku wanaponda, hahaaaaa utumwa mwingine bwana, Kiba tupe burudani baba tuzidi kufurahi
Nimekumic
eti eeeh?
Ndio ,bdae
baadae nn? yaani sichoki kuangalia video ya mwana
Na mm cchoki kusoma koment zako zinazohusu video ya mwana
hahaaaaa!! unaanzaje kuchoka sasa