Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Alitaka tumtaje mvua nguo stejini ?
C tunamtaja mvaa suti bana 🚶🚶🚶🚶
umenikumbusha alivyotokelezea kigentleman na ile suti kwenye mwana, daah kiba bwana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alitaka tumtaje mvua nguo stejini ?
C tunamtaja mvaa suti bana 🚶🚶🚶🚶
Nambie wangu...mbona thread hii ilikuwa imefutwa??Jamani mmenda kwa Mange?Uwiiiiii I love her article..I love it!!
Honestly napenda sana uandishi wake,ana vituko sana.Haya na mkajionee Ms.Lincoln atoto geniveros
Jamani mmenda kwa Mange?Uwiiiiii I love her article..I love it!!
Honestly napenda sana uandishi wake,ana vituko sana.Haya na mkajionee Ms.Lincoln atoto geniveros
Nambie wangu...mbona thread hii ilikuwa imefutwa??
tatizo nn??
Nambie wangu...mbona thread hii ilikuwa imefutwa??
tatizo nn??
sorry!hasante ngoja nienda mama
Nimerudi mkuu....but kila nikichungulia thread nakuta imefungwa!tatizo ilikua nn?Kocha umerudi
Nimerudi mkuu....but kila nikichungulia thread nakuta imefungwa!tatizo ilikua nn?
sorry!
kunani humu jamani??mbona thread imevurugwa hivi??
nafasi ya mwenyekiti wa kijiji changu tulipigwa chini buti vitongoji vyote tulichukua pamoja na wajumbe wote wa kijiji......katika kata yangu nimepoteza wenyeviti 2 kati ya 6!so am very disappoitedKwanza nipe matokeo ya s/mitaa maana nina wasiwasi mlipigwa chini....haiwezekani the most awaited video ya King itoke halafu ukae kimya hivi!
Jamani mmeenda kwa Mange?Uwiiiiii I love her article..I love it!!
Honestly napenda sana uandishi wake,ana vituko sana.Haya na mkajionee Ms.Lincoln atoto geniveros
Abou Saydou
Kiba anafunika kwa masuti ya ukweli...sio yule mpenda skendo mpaka skendo ndio apendeze teh teh teh....ngojea nikajifunze kile kistaili cha Kiba kwenye video kuchezesha miguu ni hataree hehehe
ofcourse kijana kafanya kazi bora kulingana na hadhi yake.....video kali afu iko unique!hahaaah!! chezea video ya mwana wewe! homa ya jiji
nafasi ya mwenyekiti wa kijiji changu tulipigwa chini buti vitongoji vyote tulichukua pamoja na wajumbe wote wa kijiji......katika kata yangu nimepoteza wenyeviti 2 kati ya 6!so am very disappoited
karibu sana mkuu....huu ni mtaa wa waastarabu!Abou Saydou
Kiba anafunika kwa masuti ya ukweli...sio yule mpenda skendo mpaka skendo ndio apendeze teh teh teh....ngojea nikajifunze kile kistaili cha Kiba kwenye video kuchezesha miguu ni hataree hehehe
ofcourse kijana kafanya kazi bora kulingana na hadhi yake.....video kali afu iko unique!
Nmeenda shost!ila makala ya leo ndeefu nlikua naruka ruka!!Sio siri ukishinda tandale utampata wa kitandale tandale!Leo kanikosha ila huwa ananikwaza yeye mgomvi sana!Ila ukiacha hilo nampenda namfatilia toka enzi za chuuuo!!