Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Jamani mmeenda kwa Mange?Uwiiiiii I love her article..I love it!!
Honestly napenda sana uandishi wake,ana vituko sana.Haya na mkajionee Ms.Lincoln atoto geniveros
 
Last edited by a moderator:
Nambie wangu...mbona thread hii ilikuwa imefutwa??
tatizo nn??

Kwanza nipe matokeo ya s/mitaa maana nina wasiwasi mlipigwa chini....haiwezekani the most awaited video ya King itoke halafu ukae kimya hivi!
 
Abou Saydou
Kiba anafunika kwa masuti ya ukweli...sio yule mpenda skendo mpaka skendo ndio apendeze teh teh teh....ngojea nikajifunze kile kistaili cha Kiba kwenye video kuchezesha miguu ni hataree hehehe
 
Last edited by a moderator:
Kwanza nipe matokeo ya s/mitaa maana nina wasiwasi mlipigwa chini....haiwezekani the most awaited video ya King itoke halafu ukae kimya hivi!
nafasi ya mwenyekiti wa kijiji changu tulipigwa chini buti vitongoji vyote tulichukua pamoja na wajumbe wote wa kijiji......katika kata yangu nimepoteza wenyeviti 2 kati ya 6!so am very disappoited
 
Jamani mmeenda kwa Mange?Uwiiiiii I love her article..I love it!!
Honestly napenda sana uandishi wake,ana vituko sana.Haya na mkajionee Ms.Lincoln atoto geniveros

Nmeenda shost!ila makala ya leo ndeefu nlikua naruka ruka!!Sio siri ukishinda tandale utampata wa kitandale tandale!Leo kanikosha ila huwa ananikwaza yeye mgomvi sana!Ila ukiacha hilo nampenda namfatilia toka enzi za chuuuo!!
 
Last edited by a moderator:
Abou Saydou
Kiba anafunika kwa masuti ya ukweli...sio yule mpenda skendo mpaka skendo ndio apendeze teh teh teh....ngojea nikajifunze kile kistaili cha Kiba kwenye video kuchezesha miguu ni hataree hehehe

Jinsi ulivyo vicgino vyako vitafutie spea mapema
Then na ww umeitazama Mwana?
 
Last edited by a moderator:
nafasi ya mwenyekiti wa kijiji changu tulipigwa chini buti vitongoji vyote tulichukua pamoja na wajumbe wote wa kijiji......katika kata yangu nimepoteza wenyeviti 2 kati ya 6!so am very disappoited

Mbona hata hivyo mmefanya vizuri?Don't be too dissapointed bwana....Kati ya 6 umepata 4 ulitaka nini cha zaidi?
Hongera sana.
 
Abou Saydou
Kiba anafunika kwa masuti ya ukweli...sio yule mpenda skendo mpaka skendo ndio apendeze teh teh teh....ngojea nikajifunze kile kistaili cha Kiba kwenye video kuchezesha miguu ni hataree hehehe
karibu sana mkuu....huu ni mtaa wa waastarabu!
 
Nmeenda shost!ila makala ya leo ndeefu nlikua naruka ruka!!Sio siri ukishinda tandale utampata wa kitandale tandale!Leo kanikosha ila huwa ananikwaza yeye mgomvi sana!Ila ukiacha hilo nampenda namfatilia toka enzi za chuuuo!!

Katika articles zote alizowahi kuandika today's article is the best one...Nimeipenda sana.Mange yuko vizuri upstairs kiukweli.
Mimi nimeisoma yote nangoja comments zijae nikasome.
 
Back
Top Bottom