Abou Saydou
Kiba anafunika kwa masuti ya ukweli...sio yule mpenda skendo mpaka skendo ndio apendeze teh teh teh....ngojea nikajifunze kile kistaili cha Kiba kwenye video kuchezesha miguu ni hataree hehehe
Thanks!Mbona hata hivyo mmefanya vizuri?Don't be too dissapointed bwana....Kati ya 6 umepata 4 ulitaka nini cha zaidi?
Hongera sana.
ha ha ha haaaaa!so ukishinda JF....Nmeenda shost!ila makala ya leo ndeefu nlikua naruka ruka!!Sio siri ukishinda tandale utampata wa kitandale tandale!Leo kanikosha ila huwa ananikwaza yeye mgomvi sana!Ila ukiacha hilo nampenda namfatilia toka enzi za chuuuo!!
Thanks!
Nilitaka tupige 6-0!anyway hata hao wenyeviti 2 wa magamba wako chini ya wajumbe wa Ukawa so vikao vya ODC itakuwa balaa ikizingatiwa diwani naye ni wa magamba!
Usijali me ni diwan mtarajiwa wa kata fulani huku Tarime!Huu uchaguzi nilikuwa manager kampeni wa kata yangu
karibu sana mkuu....huu ni mtaa wa waastarabu!
Hahahahaaaaa! Karibu sana kwenye sikukuu!guuuud morning wapenzi, another day another dow, jamani 1day to x-mass wr ll king be performing? ndio mwala sikukuu kiuchoyo hata hatualikani? Ms.Lincoln Abou Saydou nifah Mdakuzi Avemaria brenda18 and all family members
To you baby,I wish.......
matumbo best umeenda kwa Mange?katoa somo la maana kwa wanawake jinsi ya "kumpata man of your dreams" hasa kwa wale watafutao!Nenda bwanaaa!
Aina noma best...ila uko nimemuachia bi mkubwa wako ndio kunamfaa sana,upate ata wa kumuita daddy.
Haha haaa,hujakapenda jamani? ππ