Ali Kiba Fans' Special Thread...

Mwee jamaniii....kwa hiyo chafya hapigi?...lol

Afadhal chafya je kujamba inakuwajeee yarabii inabidi masofa yetu tuyawekee lailon ili yasilowane maana hili ni njanga
 
Haya yamwage usafishike koo we ni rafiki yangu sitaki ubanwe kifua halaf si unajua madokta wa bongo?

Aku mie kifua chafu ki swaafi kabisa,ningekua mimi ndio ninayechokoza ungesema hivyo lakini nachokozwa.....
 
Jamani naona hakuna aliyeweza wala kuthubutu kutibua 'nyongo' yangu hadi sasa hivi...
Anyways...huu ni ushindani wa kutoa stress tu I am not serious ....
Naomba turudi kwenye content hasa ya hii thread na sio umbea jamani!!!!
 
Haya yamwage usafishike koo we ni rafiki yangu sitaki ubanwe kifua halaf si unajua madokta wa bongo?

Khaa watu wana mambo hapa mjini...yani mtu usimamishe mishipa ya kiss me kisa Diamond na Ali Kiba...khaaaa....
Hahahaaaaa bado sanaaaa....
Niliyemchefua pole yake...Muda wa kujibizana sinaaa....
 
Na kwenye k mana alikua anatumia sabuni ya kuifanya tight yeye twenty four seven na pedi lake

Ulivyosema hiyo misabuni umenikumbusha kuna mtu katolewa bikra tatuuu....mjini kazi jamani...
 
Jamani naona hakuna aliyeweza wala kuthubutu kutibua 'nyongo' yangu hadi sasa hivi...
Anyways...huu ni ushindani wa kutoa stress tu I am not serious ....
Naomba turudi kwenye content hasa ya hii thread na sio umbea jamani!!!!

Hii thread ishaisha we tuanze umbea tu hapa
 
Khaa watu wana mambo hapa mjini...yani mtu usimamishe mishipa ya kiss me kisa Diamond na Ali Kiba...khaaaa....
Hahahaaaaa bado sanaaaa....
Niliyemchefua pole yake...Muda wa kujibizana sinaaa....

Ila muda wa kuandika unao hhhhhaaaaaaaa
 
Ulivyosema hiyo misabuni umenikumbusha kuna mtu katolewa bikra tatuuu....mjini kazi jamani...

Sabuni gani hizooo hhhhhaaa huyo aliona kutolewa bikra ishu sana wakati raha ni kitu mtelezo brek pu.m
 
Hii thread ishaisha we tuanze umbea tu hapa

Hujaianzisha wewe wala huwezi kuimaliza wewe.....hatutaki umbea jamaniiiiiii kaanzisheni thread nyingine mtuite nije tupige umbea vizuri...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…