Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ha ha ha ha!Dina kiboko yani mbele ya umbeya umechange kabisaaa!nmefurahi mwenyewe,ila acha kumzushia kiba bwana

Hhhhjhhhaaa tumo humu kufurah banaa,eee waache na kumsingizia domo pia,pamoko eee
 
Hujaianzisha wewe wala huwezi kuimaliza wewe.....hatutaki umbea jamaniiiiiii kaanzisheni thread nyingine mtuite nije tupige umbea vizuri...

Hatutaki kwan we umeianzisha umbea hauchagui jukwaaa
 
Ulivoenda ----ulivyoenda
Taratibu tu utanielewa

Kama wewe hodari sana mbona humkosoi huyo shoga ako???anachoandika hata hakieleweki...muambie aache kukutumia wewe kama daraja...kama anajiamini aniguse basi????uwiiiiiiii nna hamu ya ligi leo hatariiii
 
Kama wewe hodari sana mbona humkosoi huyo shoga ako???anachoandika hata hakieleweki...muambie aache kukutumia wewe kama daraja...kama anajiamini aniguse basi????uwiiiiiiii nna hamu ya ligi leo hatariiii

Mi nipo na mnyuki we mquote Kim nana tu kama unamtaka
 
Ha ha ha ha!Dina kiboko yani mbele ya umbeya umechange kabisaaa!nmefurahi mwenyewe,ila acha kumzushia kiba bwana

Hahahaaaa chezea dina na umbea wewe????mumewe naona alitoa mahari ya umbea akamchukua mtoto kiulaiiiiiniiii wengine waliojidai na vijihela vyao wakapigwa chini....
 
Nimeona nikubadili jina sio mnyaki we ni mnyuki wa asalii

Mwalimu umepindisha kukwepa aibu???? Kumbe ningekufata ofisini nikwambie mwalimu... Afu huwezi kumbadili mtu jina lake may be umpe nick name.... Ko teacher usitafte kick umekosea bana si ufute tu hako ka u then uweke a tuendelee kuandika
 
Hahahaaaa chezea dina na umbea wewe????mumewe naona alitoa mahari ya umbea akamchukua mtoto kiulaiiiiiniiii wengine waliojidai na vijihela vyao wakapigwa chini....

Weweeeeeeeee muone sura kama Shing'weng'we teh the
Umbea umekataa kuutoa umeniudhi
 
Mi nipo na mnyuki we mquote Kim nana tu kama unamtaka

Sina mudaaa shoga angu, Kisa cha kupandisha joto la mwili nini? Ali Kiba? Diamond? Hahahaaaaaa......

Ngoja nikasali mieee...Shoga muda wa Sala...
 
Mi nipo na mnyuki we mquote Kim nana tu kama unamtaka

Hujaona nimemquote zaidi ya mara 4 akaja kukulilia oooh nimekuquote wewe nashangaa watu wananiquote....mwanamke kujiamini bwana ukija na baiskeli ya mti unatulizwa unapewa japo phoenix....hahahaaaaa
 
Mwalimu umepindisha kukwepa aibu???? Kumbe ningekufata ofisini nikwambie mwalimu... Afu huwezi kumbadili mtu jina lake may be umpe nick name.... Ko teacher usitafte kick umekosea bana si ufute tu hako ka u then uweke a tuendelee kuandika

No we ni Mnyuki u know le mbebez mkaleeee in bongo
Afu--halafu
Ko--kwa hiyo
Usitafte--- usitafute
 
Hahahaaaaa wanaoswali hawajitangazi bibi....swala ni jambo la siri...kiruuu unadhani ni nani ambaye haswali sasa???
Eti hutaki kupandisha joto la mwili kilichokuleta nini?ulitaka ligi umeona maji marefu unasingizia swala...kama wewe hamsa salawat si ungekua unajisomea zako Quran tukufu saa hizi????
Kwendraaaaaaaaaa na usirud tena baradhul wewe
 
Back
Top Bottom