Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Ha ha ha ha!Dina kiboko yani mbele ya umbeya umechange kabisaaa!nmefurahi mwenyewe,ila acha kumzushia kiba bwana
Hhhhjhhhaaa tumo humu kufurah banaa,eee waache na kumsingizia domo pia,pamoko eee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha ha!Dina kiboko yani mbele ya umbeya umechange kabisaaa!nmefurahi mwenyewe,ila acha kumzushia kiba bwana
Hujaianzisha wewe wala huwezi kuimaliza wewe.....hatutaki umbea jamaniiiiiii kaanzisheni thread nyingine mtuite nije tupige umbea vizuri...
Bwana anamzushia mwaya!Heeeee....hebu nipe habari shoga na umbea wangu wote wa mjini naona hiyo sina...
Ulivoenda ----ulivyoenda
Taratibu tu utanielewa
Mwalimu umekosea sio mnyuki ni mnyaki...
Bwana anamzushia mwaya!
Hhhhhhhaaaa ukisikia paaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Kama wewe hodari sana mbona humkosoi huyo shoga ako???anachoandika hata hakieleweki...muambie aache kukutumia wewe kama daraja...kama anajiamini aniguse basi????uwiiiiiiii nna hamu ya ligi leo hatariiii
Hhhhhhaaaaa chezeyaaaq ubuyu huo nianze biashara ya pampas inalipa mujini
Hahahaaaa, shoga wewe???ndio nini kumshushua mwenzio wakati wewe ndiye uliyemleta???uwiiiiiii
Ha ha ha ha!Dina kiboko yani mbele ya umbeya umechange kabisaaa!nmefurahi mwenyewe,ila acha kumzushia kiba bwana
Haki ya nani
sabuni vp zimeisha?
Nimeona nikubadili jina sio mnyaki we ni mnyuki wa asalii
Hahahaaaa chezea dina na umbea wewe????mumewe naona alitoa mahari ya umbea akamchukua mtoto kiulaiiiiiniiii wengine waliojidai na vijihela vyao wakapigwa chini....
Mi nipo na mnyuki we mquote Kim nana tu kama unamtaka
Mi nipo na mnyuki we mquote Kim nana tu kama unamtaka
Mwalimu umepindisha kukwepa aibu???? Kumbe ningekufata ofisini nikwambie mwalimu... Afu huwezi kumbadili mtu jina lake may be umpe nick name.... Ko teacher usitafte kick umekosea bana si ufute tu hako ka u then uweke a tuendelee kuandika
Hhhhjhhhaaa tumo humu kufurah banaa,eee waache na kumsingizia domo pia,pamoko eee
No we ni Mnyuki u know le mbebez mkaleeee in bongo
Afu--halafu
Ko--kwa hiyo
Usitafte--- usitafute