Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Huu uzi mrefu sijasoma wote,nimesema mkito nkimaanisha downloads ziko juu za ally k mpaka mtandao ulibuma mbna unantoa kafara binti wee😱

Usiumeume maneno...tokea jana nakuona mienendo yako unadhani sikuoni unayoyafanya?pale ulitaka kunitoa kwenye mood ili nishambuliwe ufurahi....siwezi kukutoa kafara wewe kifaranga nataka yanayojiita majogoo na mitetea
 
Hahahaha!!! Hahahaha!! Kamfundishe mondi jinsi ya kuandika maana barua ya kuomba msamaha tena kwa jeshi ameanza na dear.. Duh???? Sijui itakuaje

Tatizo unajua maana moja kama kushusha gogo
 
Hujaona nimemquote zaidi ya mara 4 akaja kukulilia oooh nimekuquote wewe nashangaa watu wananiquote....mwanamke kujiamini bwana ukija na baiskeli ya mti unatulizwa unapewa japo phoenix....hahahaaaaa

Agiza basi Novida yaan hupumzikiii
 
Sina mudaaa shoga angu, Kisa cha kupandisha joto la mwili nini? Ali Kiba? Diamond? Hahahaaaaaa......

Ngoja nikasali mieee...Shoga muda wa Sala...

Kasali leo nifah hata kula hali jaman namuhurumia kwelii
 
Usiumeume maneno...tokea jana nakuona mienendo yako unadhani sikuoni unayoyafanya?pale ulitaka kunitoa kwenye mood ili nishambuliwe ufurahi....siwezi kukutoa kafara wewe kifaranga nataka yanayojiita majogoo na mitetea

Nifah kale basii au umefunga wiki nzima
 
Laiti ungekua ninavyorelax!!!nitumie energy kwenye suala rahisi kama hili je panapohitaji nguvu nitatumia nini???
Kama haushabikii ujinga huyo mwenzio ulikua unamuita aje kufanya nini???

Jaribu kutafuta novels na majarida mengine uwe unasoma soma au unaweza kuangalia sports vile vile. Au kuna vitu vingi tu vya kupunguza stress kwa mfano mazoezi au matembezi ya hapa na pale, we kisirani tu kutwa nzima! Mtoto wa kike sometimes unatakiwa utabasam.
 
Nifah kale basii au umefunga wiki nzima

Nile kila saa mimi kuku???ndio nyie mnaoendekeza kula mwisho wa siku mnahangaika na diet+gym....niliingia humu saa 8 ujue,nilishakula zamaaaani
Mbona umepotea?ulikua unateta nini huko PM???uwiiiiiii
 
Hivi unanishauri nini?wakija watu kutuchefua humu niwaache tuu??hebu nipe maoni yako....wala usijilazimishe...hii kitu inahitaji nature

Mtu akitukana ukanyamaza inawezekana,anaetukana anataka akutoe nje ya mada na ukitoka ni ushindi kwake,
 

Jaribu kutafuta novels na majarida mengine uwe unasoma soma au unaweza kuangalia sports vile vile. Au kuna vitu vingi tu vya kupunguza stress kwa mfano mazoezi au matembezi ya hapa na pale, we kisirani tu kutwa nzima! Mtoto wa kike sometimes unatakiwa utabasam.

Unanipangia maisha wewe ni nani kwangu?novels na sports vina wakati wake sio kila saa. ..
Aisee hakuna mtu mwenye tabasamu/mpole kama mimi...huku tuna fake tu siku zinaenda...
Ukiniona huwezi amini kama ndiye mimi unayenisoma huku...upo???
Hahahaaaaaa
 
Nile kila saa mimi kuku???ndio nyie mnaoendekeza kula mwisho wa siku mnahangaika na diet+gym....niliingia humu saa 8 ujue,nilishakula zamaaaani
Mbona umepotea?ulikua unateta nini huko PM???uwiiiiiii

Tutete pm nini nililala kidogo we si humu umepageuza ndani mwako
 
Mtu akitukana ukanyamaza inawezekana,anaetukana anataka akutoe nje ya mada na ukitoka ni ushindi kwake,

Nitajaribu basi ...ila uvumilivu ukinishinda.........moto lazima uwake
 
Back
Top Bottom