miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,012
- 3,700
Naona kuna watu walikuwa wanapiga deki bahari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona kuna watu walikuwa wanapiga deki bahari.
Naona kuna watu walikuwa wanapiga deki bahari.
Madam tishet bado tu
Tupo bize tunaongea na mwana dar es salaam
Acha kupima upepo wewe....una habari leta huna kaa kimya..
nakuamanje wanguu
unilostishi wala nini!!!
kimbiza mbayaaaa!!
Hahahaaaa thanks my dia....yote kisa Kiba jamani...loooh
Nilikuwa bize nakimbiza mwizi
View attachment 196162
Ngoja tuwaazime hizi wakati wanaendelea kunywa Chai kwa mluzi.
Umeibiwa ninii
Sijaibiwa ila kuna kuna vijana wanatuhanithi hapa kitaa.....wamemuibia mtu pikipik
Eee ungemkamata leooo, he umemkimbiza sana eeeee
Sana tu......ningemzomea tu
Hhhhhhaaaaaaaaaa,muangalie daimond Channel 5
Nshalala mie.....anasemaje??
Kesho wana shoo mlimani city siku ya msanii, kiingilio ni 70000 na 50000