Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Mh,kulala nini jamani dakika 5?au umeniota nini???
Hhhhhaaaaaa pambafu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mh,kulala nini jamani dakika 5?au umeniota nini???
Hhhhhaaaaaa pambafu
Waje wapi nimeshawasambaratisha wote....loh nawe umbea tu si ulikua inafuatilia ligi jamani???
Mashabiki wa Kiba wote ni watu makini sana,wenye busara,adabu na wanaojielewa!Hawashabikii kimkumbo tu,wana maamuzi magumu na wapo firm,na hilo wamejifunza kutoka kwa Kiba mwenyewe,tena sio kwamba wanamchukia Diamond!Hapana ila wameamua kumshabiki kiba,kwani kinyume cha kumpenda Kiba ni kumchukia mwingine!!Aiseee wewe mtu una akili sana,nadhani point yako imemaliza kila kitu nikiongezea nitaharibu
Mashabiki wa Kiba wote ni watu makini sana,wenye busara,adabu na wanaojielewa!Hawashabikii kimkumbo tu,wana maamuzi magumu na wapo firm,na hilo wamejifunza kutoka kwa Kiba mwenyewe,tena sio kwamba wanamchukia Diamond!Hapana ila wameamua kumshabiki kiba,kwani kinyume cha kumpenda Kiba ni kumchukia mwingine!!
Sasa nashikwa na midadi huku,ntaka niwe staring halafu wewe uwe mke wake kla anaepita mbele yetu tunampa double impact😀
Wewe unasemaje???niwe mke wa kila anayepita hapa?una wazimu wewe...nipotezee kama vipi na wewe ndio walewale
Hahaha yaaani me staring,wewe mke wa huyo staring,halafu kla anaepita tunampa double impact km ujaelewa hapo sasa nainua mikono nimeshindwa me🙁Wewe unasemaje???niwe mke wa kila anayepita hapa?una wazimu wewe...nipotezee kama vipi na wewe ndio walewale
Hahaha yaaani me staring,wewe mke wa huyo staring,halafu kla anaepita tunampa double impact km ujaelewa hapo sasa nainua mikono nimeshindwa me🙁
Hahahaaaaa haya ngoja tuone,ole wako uende against makubaliano haya😛😛
Heeeee yani subiri waje hao panya road.....ila wakinizidia inabid ununue ugomvi sambaratisha wote
Usijali...si umeniambia nikae nyuma yako???haya nakupa kijiti....
Usiwe mbali mama uwe karibu karibu unapiga doliaUsijali...si umeniambia nikae nyuma yako???haya nakupa kijiti....
mpo tu hahaha argrrrrrr domo,kiba chid na sembe. vipi? hawa wawili?