Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Chezea Dai...
Hapana chezeiyaaaaaaaa kesho sipati picha, ntakupitia shogaaa tuwah kabisa tukapige picha red carpet
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chezea Dai...
Hapana chezeiyaaaaaaaa kesho sipati picha, ntakupitia shogaaa tuwah kabisa tukapige picha red carpet
Usijali ngoja nimuombe Docta ruhusaaa...
Mashabiki wa Ally Kiba wajumuike hapa kumpa ushauri what is next baada ya mashabiki kuonesha mapenzi yao ya dhati kwa Kiba kwenye Fiesta na kuandika historia mpya Tanzania.
Mimi kama Matola nitatumia effort zangu binafsi kuhakikisha nakutana na Kiba na manegement yake ili kuwapa mikakati ya mfalme huyu aweze kuutunza huu ufalme wake.
La kwanza niko tayari kutoa Tshirt za Kiba zenye kiwango ambapo shughuri ya kuziandaa kuna kampuni iko South Africa inaweza kuleta Tshirt katika viwango vya USA.
warumi nifah geniveros
Nisaidieni kuwaita wadau ili tumtengeneze Ally Kiba sasa na nitahakikisha anafunguwa ID hapa kwa jina lake ili kujibu maswali ya wadau pale patakapokuwa na ulazima wa yeye kufanya hivyo. Yeye siyo wa level ya Instagram.
Hahahahaha masaa 24 huyu jamaa yuko online jf lazima analipwa huyu siyo bure mkuu njaa mbayaKumbe kelele zote zile mpaka jasho la mkndu linakutoka ulikuwa unafukuzia dili ya Tshet za Ali Kiba?
Tukiwaambia hamna kazi ya kufanya mnatoa matusi, hivi mtu aliye bize na mambo yake atapata wapi muda wa kutembeza matishet ya Ali Kiba mitaani?
Njaa mbaya sana kumbe ule wivu kwa Naseeb ni kwa kuwa hajakukaribisha kwenye ufalme wake wa Wasafi.
Kesho wana shoo mlimani city siku ya msanii, kiingilio ni 70000 na 50000
View attachment 196162
Ngoja tuwaazime hizi wakati wanaendelea kunywa Chai kwa mluzi.
mbona mbaya sasa?
King kiba kiingilio ni shilling ngapi? vile teh teh teh! king wa jf ......
Vaaaa tu twende kazi.
Naona virus mmevamia uzi,ngoja tuje.
mda sinaaa mie
sura zimewaparama
km jiwe la kiama
hawana lolote
Ally kiba ndo dem gani?
Hahahaaa aisee leo sipo kwenye mood ya kubishana kabisa yani
Natabasamu tu
Na bora kuwaacha povu liwatoke wewe anatukana una mu ignore wengine wanakuja kupunguzia stress na kutafta amani tu
Na bora kuwaacha povu liwatoke wewe anatukana una mu ignore wengine wanakuja kupunguzia stress na kutafta amani tu
Hahahaaa aisee leo sipo kwenye mood ya kubishana kabisa yani
Natabasamu tu
Ali kiba sio mwanamziki ni msindikizaji ameFanya mziki miaka kumi hana hata bajaji ya kichina........anatembea kwa miguu kutoka mbezi mpaka posta.