Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sitti kavua tajii, maneno tu khaaaaa hhhhhhhaaa
Hata nyerere alikua anatembea kutoka butiama hadi mwisenge musoma,ally k posta mbona karibu tu.........haina logic hiyo
Kumbe kelele zote zile mpaka jasho la mkndu linakutoka ulikuwa unafukuzia dili ya Tshet za Ali Kiba?
Tukiwaambia hamna kazi ya kufanya mnatoa matusi, hivi mtu aliye bize na mambo yake atapata wapi muda wa kutembeza matishet ya Ali Kiba mitaani?
Njaa mbaya sana kumbe ule wivu kwa Naseeb ni kwa kuwa hajakukaribisha kwenye ufalme wake wa Wasafi.
mbona mbaya sasa?
Hivi jamani, hatuwezi Waafrika kuungana na kuanzisha Makampuni Mama kwa vitu kama Umeme, Simu, Reli, Ndege, Barabara na kadhalika?
Mashabiki wa Ally Kiba wajumuike hapa kumpa ushauri what is next baada ya mashabiki kuonesha mapenzi yao ya dhati kwa Kiba kwenye Fiesta na kuandika historia mpya Tanzania.
Mimi kama Matola nitatumia effort zangu binafsi kuhakikisha nakutana na Kiba na manegement yake ili kuwapa mikakati ya mfalme huyu aweze kuutunza huu ufalme wake.
La kwanza niko tayari kutoa Tshirt za Kiba zenye kiwango ambapo shughuri ya kuziandaa kuna kampuni iko South Africa inaweza kuleta Tshirt katika viwango vya USA.
warumi nifah geniveros
Nisaidieni kuwaita wadau ili tumtengeneze Ally Kiba sasa na nitahakikisha anafunguwa ID hapa kwa jina lake ili kujibu maswali ya wadau pale patakapokuwa na ulazima wa yeye kufanya hivyo. Yeye siyo wa level ya Instagram.
kuna watu wengine bhnaaa wameanzisha uzi wakaona haitoshi wameamua kuingia cha kiume cha ally kiba wakat wanajisaidiaga kwenye choo cha dadamond.
Hahahah....eti Mtu na akili zake avae tshirt limeandikwa nakshi nakshi ..au cinderella hahahaha
Kabla ya hayo yote ungekaa na menejiment kama unavyodai then mmshauri jinsi ya kuvaa akiwa stejini na pia madansa wazuri hilo linamshusha maana aliwaaibisha fiesta ya kigoma jana.
Tshirt yenu ya cinderella mmeshindwa kumudu gharama??....
Hahahah....eti Mtu na akili zake avae tshirt limeandikwa nakshi nakshi ..au cinderella hahahaha
Jamaa anataka kuanzisha mradi wa T-shirt usione anakomaa bure
Matola acha kuendekeza njaa. Kwanini kulazimisha kumpa alikiba umaarufu ambao hana? Utakuja aibika shauri zako.
Hahahah....eti Mtu na akili zake avae tshirt limeandikwa nakshi nakshi ..au cinderella hahahaha
Kutembea mguu ndo inalogic?umekua speed meter unacount movements za mtu,?sibishani na toroli huendi mpaka ushikwe nyuma.........
Subiri kiungo wa zamani wa Simba aje kukujibu,mambo vipi lakini.