Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo tuwachore tuuu ila ka uzi kanapepea karbia kanamfunika le mutuz
Hata nyerere alikua anatembea kutoka butiama hadi mwisenge musoma,ally k posta mbona karibu tu.........haina logic hiyo
Dawa yao ni kuzomewa tu hawa, wala wasiwasumbue. Naona mwangwi wa zomeo la Fiesta bado linawapa wenge mpaka sasa ndio maana wanaweweseka.
Ova
Hahahaaaaa aiseee kumbe uko vizuri eeeh???
Umenichekesha sana
leo uko wapi uje ntakukabdh kijiti baadae,😀
Hata nyerere alikua anatembea kutoka butiama hadi mwisenge musoma,ally k posta mbona karibu tu.........haina logic hiyo
Hivi hiyo show ya mliman city itaonyeshwa kweli?kama sio fanya mpango tupate ripoti za huko nakuaminia
Dawa yao ni kuzomewa tu hawa, wala wasiwasumbue. Naona mwangwi wa zomeo la Fiesta bado linawapa wenge mpaka sasa ndio maana wanaweweseka.
Ova
Hivi hiyo show ya mliman city itaonyeshwa kweli?kama sio fanya mpango tupate ripoti za huko nakuaminia
Acha kujifananisha wewe na nyerere mbona wewe huvai nguo za magome is this a logic to you?????. Mbona hutumii majani ya migomba kula kande ? Kaa pembeni.
Kutembea mguu ndo inalogic?umekua speed meter unacount movements za mtu,?sibishani na toroli huendi mpaka ushikwe nyuma.........
ana hashuo za mgomba huyoo
maji ya dafu kutia kidonda
Leo sipo kwenye mood as I said...nitakuangusha tuu
Sikiliza mwana,kiboko yangu,utakua ok,music ni tiba
Sasa nakuuzia timbwili rasmi nakuongezea kikosi kazi sagent nifah muwachakaze au sio g?
mi unagoma kudownload
Sasa nakuuzia timbwili rasmi nakuongezea kikosi kazi sagent nifah muwachakaze au sio g?