Aiseeee,sasa haya yanatuhusu nini kwenye huu uzi wa Kiba???
hahahahah!!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseeee,sasa haya yanatuhusu nini kwenye huu uzi wa Kiba???
Wallah silipwi,ni mapenzi tu.....you are welcome
hizi juhudi siyo bure nalizima mnalipwa nyie hahahaha but I like mnavyobishana
Kwahyo na wewe umelipwa au?
Shangaa wewe sasa, hapa Fans wa Kiba ndio tunataka liwe jukwaa letu la kupanga mikakati ya kumjenga zaidi na kumleta karibu zaidi na jamii na yeye kama ana cha kuwaeleza mashabiki atumie jukwaa hili maana wengine huwa hatuna muda wa kusikiliza vipindi vya redio vinavyoendeshwa na watu wajinga wajinga.
mbona unaruka kinyamaa kama nature.
akifanya kazi nzuri why not kumsapport?? unadhani mimi nina roho mbaya kama wewe, ninachopingana na ninyi hapa ni huku kutaka kumshusha daimond kinguvu na kumpandisha kiba kilazima, kama ujuavyo hakuna lisilokuwa na ncha, so kwanini msimuache ashuke dramatically muda wake ukifika??? na kiba ni mzuri YES muacheni apande automatic, si ndio amerudi kwenye game??? mpeni nafasi atuoneshe come back yake, mtu kakaa miaka mingapi sijui hafanyi mziki, leo karudi wimbo mmoja mnataka kulazimisha akae pale kileleni,how comes??
that's why tunaopenda mziki kwa ujumla tunaona kuna baadhi ya watu kama wewe mna chuki binafsi na mondi, na si kwamba kiba anafanya vizuri zaidi ya mondi kwa sasa, na kama anafanya vizuri kumzidi mondi kelele haiitajiki kazi nzuri hujionesha yenyewe.
sijui umenielewa????
Hahahaaaaa aisee itabidi Matola aangalie na hili wazo pia
Ndo maana yake.....me ntatengeneza opener za Kiba,nikiwa napiga mambo yangu bar inakuwa poa kabisa.
Ndo maana yake.....me ntatengeneza opener za Kiba,nikiwa napiga mambo yangu bar inakuwa poa kabisa.
Hahahaaaaa sikuwezi kwa kinywaji aiseee :beer::beer:
Hahahah misinaga hizo mbona nasikiliza wimbo kwa mapenz binafsi so kuna nyimbo za dia nazikubali na kiba piaHa ha wakuruka mie wale wote waliovurugwa fiesta ndo wame paniki hawaelewi chochote may be na wewe unaweza kuwa mmoja wao
Kiba anavyopandishwa kinguvu atashuka kama ghorofa la TB Joshua.
najua mtapanic lakini mondi ndio aliyemtoa kiba, nyie mnaojiita mashabiki mnaongerea nyama tuuu, no diamond no kiba but there is mondi without kiba.onyesha thread ya daimond ambayo team kiba hamkuisugulia gaga. heheheiyaaaa nawaambia hivi kwa almas kamasi lazima ziwavuje.