Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Shangaa wewe sasa, hapa Fans wa Kiba ndio tunataka liwe jukwaa letu la kupanga mikakati ya kumjenga zaidi na kumleta karibu zaidi na jamii na yeye kama ana cha kuwaeleza mashabiki atumie jukwaa hili maana wengine huwa hatuna muda wa kusikiliza vipindi vya redio vinavyoendeshwa na watu wajinga wajinga.

Wana taka kuuharibu uzi waache tume shauri anayeshaurika wao wabakie na chuki na wivu si wamuanzishie uzi wake
 
akifanya kazi nzuri why not kumsapport?? unadhani mimi nina roho mbaya kama wewe, ninachopingana na ninyi hapa ni huku kutaka kumshusha daimond kinguvu na kumpandisha kiba kilazima, kama ujuavyo hakuna lisilokuwa na ncha, so kwanini msimuache ashuke dramatically muda wake ukifika??? na kiba ni mzuri YES muacheni apande automatic, si ndio amerudi kwenye game??? mpeni nafasi atuoneshe come back yake, mtu kakaa miaka mingapi sijui hafanyi mziki, leo karudi wimbo mmoja mnataka kulazimisha akae pale kileleni,how comes??

that's why tunaopenda mziki kwa ujumla tunaona kuna baadhi ya watu kama wewe mna chuki binafsi na mondi, na si kwamba kiba anafanya vizuri zaidi ya mondi kwa sasa, na kama anafanya vizuri kumzidi mondi kelele haiitajiki kazi nzuri hujionesha yenyewe.

sijui umenielewa????

Kuna point gani hapo ya mimi kuelewa???Diamond anataka kushushwa na nani??Agenda hapa ni mpango mkakati wa sisi fans wa Kiba kuvaa tshirt yake ili kushow support kwake.....ina uhusiano gani na kushushwa kimuziki diamond.

Kwanini utumie nguvu nyingi kulazimisha kuwa sisi tuna chuki binafsi na Diamond??Wewe na fans wa Dai fanyeni yenu na sisi tufanye yetu.

Huwezi kunishawishi kumpenda Dai as kuna wasanii wengi tu wakuwapenda akiwepo Kiba na wengineo.
 
Ndo maana yake.....me ntatengeneza opener za Kiba,nikiwa napiga mambo yangu bar inakuwa poa kabisa.

Hahahaaaaa sikuwezi kwa kinywaji aiseee :beer::beer:

Nimeshamtumia Kiba msg kwenye network kadhaa nasubili response yake ili nifanye mawasiliano ya moja kwa moja.

Na hii ni changamoto pia anatakiwa kuwa na simu ya kikazi ambayo namba ziwe wazi kwa public hata kwenye social network na awe na simu yake binafsi na familia yake.
 
Mimi nashangaa huu uzi kwa ajili ya fans wa Ali Kiba, nashangaa vitorondo nao wanauvamia.
 
Good Matola, T-shirt zikiwa tayar weka wazi mkuu kuna wadau wapo huku Lind na Mtwara wanazihitaj baada ya kuwaambia hili suala. Wanataman sana Kiba angekuwepo huku trh 26 fiestani.
 
najua mtapanic lakini mondi ndio aliyemtoa kiba, nyie mnaojiita mashabiki mnaongerea nyama tuuu, no diamond no kiba but there is mondi without kiba.onyesha thread ya daimond ambayo team kiba hamkuisugulia gaga. heheheiyaaaa nawaambia hivi kwa almas kamasi lazima ziwavuje.

eeeenh!.... mbona kama ya sitti mtemvu na umri wake wa masters!

diamond kamtoa kiba? duh...
 
Back
Top Bottom