Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Mimi nashangaa huu uzi kwa ajili ya fans wa Ali Kiba, nashangaa vitorondo nao wanauvamia.

Ingawa nyumba ya shetani....mwendawazimu kaingiaje...ndivyo wanavyofundishwa na mwenzawazimu wao kua sisi ni mashetani watuvamie tu bila sababu
 
eeeenh!.... mbona kama ya sitti mtemvu na umri wake wa masters!

diamond kamtoa kiba? duh...

Mimi pia nimeshangaa lakini sijaona haja ya kubishana na huyo mama wa kigodoro
 
Nimeshamtumia Kiba msg kwenye network kadhaa nasubili response yake ili nifanye mawasiliano ya moja kwa moja.

Na hii ni changamoto pia anatakiwa kuwa na simu ya kikazi ambayo namba ziwe wazi kwa public hata kwenye social network na awe na simu yake binafsi na familia yake.

Ni kweli hata kwenye profile yake instagram kaweka email tu,sijawahi ona namba zake za simu...au wadada wanamsumbua sana nini?
 
jaman team domo simpite hivi mnafanya nn humu!!!???this znt your place
 
eeeenh!.... mbona kama ya sitti mtemvu na umri wake wa masters!

diamond kamtoa kiba? duh...

ndio daimond kamtoa kiba, uongooo??? kiba si alishakufa kimziki??? bishaaaa!!! baada ya kuona mwenzake anararua anga ndio akarudi na kiwewe ooh nimerudi kuchukua kiti changu, aliyemwambia kiti chake kimechukuliwa nani??? kila mtu anakichi chake bwaaaaa, yeye arudi afute vumbi kiti chake apige kaziiiiii na tutamuelewa tuuu, aache kelelee, hizi lalama lalama za ooh dogo ananidharau na ilihali mimi ndio nilietoa ruhusa akarekodiwa bure, so whatttttt???? anayaongea hayo sasa???? MWAMBIE TENA MUMWAMBIE KWA HERUFI KUBWAAA, AACHE KUMTUMIA DAIMOND KUJIRUDISHA KWENYE GAME, ACHAPE KAZI, KIPAJI ANACHO ILA CONFIDENCE NDIO MUNGU ALISAHAU KUMPA JAPO KWA BAHATI MBAYA MUNGU WETU HANAGA HIYANA.
 
Uwiiiiiiii,magazeti yameanza kuja jamani sitaki kusoma kichwa kinaniuma!!!! 🙄🙄
 
Ni kweli hata kwenye profile yake instagram kaweka email tu,sijawahi ona namba zake za simu...au wadada wanamsumbua sana nini?

Ndio lengo la kuanzisha hii thread ingawa vibaraka wa Domo na Wema wanatuletea fujo, ni kwamba tumpike aive maana tatizo la wazi kabisa nimeliona kwenye facebook yake na facebook page yake.

Kama Kiba yuko chini ya manegement basi manegement hiyo haifai kabisaa na haitompeleka popote, Kiba sasa afanye kazi na watu wenye vision mpya na strategy mpya.

Namba ya simu moja lazima iwepo kwenye social networks na ni ya kikazi tu na si ya kuchart na wachumba.
 
ndio daimond kamtoa kiba, uongooo??? kiba si alishakufa kimziki??? bishaaaa!!! baada ya kuona mwenzake anararua anga ndio akarudi na kiwewe ooh nimerudi kuchukua kiti changu, aliyemwambia kiti chake kimechukuliwa nani??? kila mtu anakichi chake bwaaaaa, yeye arudi afute vumbi kiti chake apige kaziiiiii na tutamuelewa tuuu, aache kelelee, hizi lalama lalama za ooh dogo ananidharau na ilihali mimi ndio nilietoa ruhusa akarekodiwa bure, so whatttttt???? anayaongea hayo sasa???? MWAMBIE TENA MUMWAMBIE KWA HERUFI KUBWAAA, AACHE KUMTUMIA DAIMOND KUJIRUDISHA KWENYE GAME, ACHAPE KAZI, KIPAJI ANACHO ILA CONFIDENCE NDIO MUNGU ALISAHAU KUMPA JAPO KWA BAHATI MBAYA MUNGU WETU HANAGA HIYANA.

Mkuu ni nini hasa sababu ya Ally Kiba, msanii mkali wa masauti kukaa kimya kwa muda mrefu lakini akarudi kwa shinikizo kutoka kwa Diamond Platnumz?

Je, unadhani kwamba Diamond asingekuwepo leo basi Kiba angelikufa milele kimuziki?

Asante!
 
Acha ujin...ga kwa hiyo mm ninayeshabikia simba ili hali ni wanaume wanaocheza nina element za kike? Wanaume wasishabikie wanamziki wakiume hata kama wanamziki mzuri??! Ngoma ikilia sana mwisho hupasuka diamond anaelekea ukingoni na showoff zake za kimbulula. Talk of the town ni ally kiba

We kweli Kiazi unatoa mfano ambao ambao hau make sense, nani aliyezungumzia habari za kushabikia kitu? Toa mfano logic

halafu jingine siko team Ushuzi yoyote ile kama wewe ulivyo na pigo za kina dada kuingia kwenye magroup za team team nacho zungumzia ni uhalisi kuwa ALI KIBA anajua muziki zaidi ya Diamond hilo sikatai na halina Ubishi ila Ally Kiba nae atasubiri sana kumfikia Diamond sio kwa mafanikio wala uwezo hilo nalo halina Ubishi weka mahaba pemben mtoto wa kiume. Kama ni show off zake we zinakukera nini au huna cha kuShow off maana ile ni tabia yake huwezi kumlazimisha awe kama wewe. Akifanya show off Lil Wayne unafurahiiiii ila mbongo mwenzako Joto hasira.
 
We kweli Kiazi unatoa mfano ambao ambao hau make sense, nani aliyezungumzia habari za kushabikia kitu? Toa mfano logic

halafu jingine siko team Ushuzi yoyote ile kama wewe ulivyo na pigo za kina dada kuingia kwenye magroup za team team nacho zungumzia ni uhalisi kuwa ALI KIBA anajua muziki zaidi ya Diamond hilo sikatai na halina Ubishi ila Ally Kiba nae atasubiri sana kumfikia Diamond sio kwa mafanikio wala uwezo hilo nalo halina Ubishi weka mahaba pemben mtoto wa kiume. Kama ni show off zake we zinakukera nini au huna cha kuShow off maana ile ni tabia yake huwezi kumlazimisha awe kama wewe. Akifanya show off Lil Wayne unafurahiiiii ila mbongo mwenzako Joto hasira.

Nawakubali tu ,kwa kuandika magazeti tu hamna mpinzani.
 
We kweli Kiazi unatoa mfano ambao ambao hau make sense, nani aliyezungumzia habari za kushabikia kitu? Toa mfano logic

halafu jingine siko team Ushuzi yoyote ile kama wewe ulivyo na pigo za kina dada kuingia kwenye magroup za team team nacho zungumzia ni uhalisi kuwa ALI KIBA anajua muziki zaidi ya Diamond hilo sikatai na halina Ubishi ila Ally Kiba nae atasubiri sana kumfikia Diamond sio kwa mafanikio wala uwezo hilo nalo halina Ubishi weka mahaba pemben mtoto wa kiume. Kama ni show off zake we zinakukera nini au huna cha kuShow off maana ile ni tabia yake huwezi kumlazimisha awe kama wewe. Akifanya show off Lil Wayne unafurahiiiii ila mbongo mwenzako Joto hasira.

Hivi umesoma jina la thread linasemaje kwanza kabla hujamwaga hili povu lako hapa???
Hii ni special thread ya FANS wa Kiba na sio team Kiba upo???haya rudi ukajipange uje msafi hatutaki mapovu hapa....
 
Mh una lako jambo wewe si upite

No ypo sahh wabongo tnaboa sana,tnapenda kuishi kihistoria zaid na hili si hapa hata maisha ya kawaida huwa tunamove kinyumenyume!....MAAD ZA KIJINGA ZINAJADILIWA SANA KULKO ZA MAENDELEO...KUMJADLI MTU HAKUFANYI.AIMBE VZR..MUZIKI NI HISIA HUWEZ KUMFANYA MTU AMKBALI MTU ASIEKUWA NA HISIA DHIDI YKE
 
Loh!!!!shoga angu dizaini sikuelewi jamani...hivi kuna mtu ambaye huwa anamponda ndomo huku kama wewe?imekuwaje tena???
Honestly sikulazimishi wala kukupangia mtu wa kumshabikia...Kweli mtu unayempenda unaweza kumponda vile???

Dinazarde ebu tupishe apa usituaribie mood na ndomo wako, mbona wakat anazomewa pale leaders ukumtetea? Siku izi nipo busy maana nimepewa cheo na kiba kusimamia new project ya team kiba kwa hiyo please binamu usinipotezee ugali wangu, oooh , wenzio kuna bonge la project tunafanya yani itakuwa ni bonge la surprise , nadhan team domo kubwa mtaugua ebola ghafla
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom