Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Jamani special thread ya mfalme hii hata kutupiemo tupicha mmegoma?

Kwakuwa na wale washabiki wa domo tunao humu wanatupetipeti basi na wao sintowasahau.

hivi R kelly alikataa kupiga nae picha hahahahahahah

unapomuita mfalme uspecify ni mfalme wa nini, usikute ni mrithi wa mzee yusuph katika masuala ya Taarab
 
EEeh huo umbea wa bikra wa kisukuma nausikiaga tu juu kwa juu, iv na yeye ndo wale wale? Nasomaga articles zake insta yuko vzur, ila na sura yake nzito kama tope la uyole atampata nani?

Hahahaaaa,nimemiss sana vichekesho vyako ujue...eti tope la uyole 😀😀😀
 
Kimya kingi kina mshindo, halafu Mrembo by Nature jioni unahitajika jukwaan, unajua nimemis umbea? Halafu nina maubuyu had naumwa, siku izi akina Dinazarde siwaoni au ndo mmeshaacha umbea nitafute wakala wengine? Maana siku izi naona mnajifanya hampendi umbea kabisa ooh

Yaweke basi tumemiss ubuyu... Dinazarde haonekani tokea ndomo agaragazwe pale leaders yuko zake busy anauza dawa....
 
Last edited by a moderator:
Kimya kingi kina mshindo, halafu Mrembo by Nature jioni unahitajika jukwaan, unajua nimemis umbea? Halafu nina maubuyu had naumwa, siku izi akina Dinazarde siwaoni au ndo mmeshaacha umbea nitafute wakala wengine? Maana siku izi naona mnajifanya hampendi umbea kabisa ooh

Dinazarde hivi sisi ni wakushindwa kazi kweli?? Hapa tukipotea ni maisha tu yanatubana ila sio kushindwa kazi. We leta gaga hilo tulisugue. gwijimimi si utakuwepo swahiba??
 
Last edited by a moderator:
Kuna mtu nataka kumu Arrest hapa......amempa demu halafu mwanafunzi flagly atolee mimba.Huyo mtoto ameshakunywa vidonge 4,me npo ndani hapa nawasikia wakiongea.

Nipe location tumnyatie fastaa kabla mtu hajazima
 
EEeh huo umbea wa bikra wa kisukuma nausikiaga tu juu kwa juu, iv na yeye ndo wale wale? Nasomaga articles zake insta yuko vzur, ila na sura yake nzito kama tope la uyole atampata nani?

We uliona wapi mwanaume anapewa ofa ya holiday na mwanaume mwenzake alafu anachekelea Kama si mchele. Eti jembe ni jembe kampeleka kisiwani chacha kupumzika kwa nae anasifia. Je Kama alienda kutiwa midole?? Wanaume wenyewe wa mjini hata hawaaminiki siku hizi kwa kuwala wanaume wenzao
 
Unae fikilia kuwa fiesta ndo itamfanya huyo kiba wako awe kama diamond utasubili sana labda huyo kiba wako aombe tena Al- Kelly amwite kwenye wimbo mwingine wa maombolezo lasivyo atabaki na kelele za walevi wa fiesta
 
Unae fikilia kuwa fiesta ndo itamfanya huyo kiba wako awe kama diamond utasubili sana labda huyo kiba wako aombe tena Al- Kelly amwite kwenye wimbo mwingine wa maombolezo lasivyo atabaki na kelele za walevi wa fiesta

Sommaaaa .......fiki gwe??
 
Unae fikilia kuwa fiesta ndo itamfanya huyo kiba wako awe kama diamond utasubili sana labda huyo kiba wako aombe tena Al- Kelly amwite kwenye wimbo mwingine wa maombolezo lasivyo atabaki na kelele za walevi wa fiesta

Inaonyesha umeumia sana pole yako
 
Livejr acha kumfanya huyo kiba wenu avimbe kichwa mwambie afanya mziki kazi na sio majungu ataishia kupambana na vumbi la somanga kwenda kusini wenzake wana fright haooooo mbevele
 
Back
Top Bottom