Paula kilaki
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 1,909
- 1,290
Sheeeeeeeedah eeh
hahahahahaa miss strong bwana, upo vizuri kwenye corus tho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sheeeeeeeedah eeh
View attachment 195416
Hizi level watu hawafiki kwa kubebwa bebwa, inahitajika bidii kujituma pia nidhamu.
Kiba atasubiri sana kufikia level hizi.!
We uliona wapi mwanaume anapewa ofa ya holiday na mwanaume mwenzake alafu anachekelea Kama si mchele. Eti jembe ni jembe kampeleka kisiwani chacha kupumzika kwa nae anasifia. Je Kama alienda kutiwa midole?? Wanaume wenyewe wa mjini hata hawaaminiki siku hizi kwa kuwala wanaume wenzao
Kuzomea tu safari hii.....au akipanda jukwaani namrushia ndizi.Teh teh
Unae fikilia kuwa fiesta ndo itamfanya huyo kiba wako awe kama diamond utasubili sana labda huyo kiba wako aombe tena Al- Kelly amwite kwenye wimbo mwingine wa maombolezo lasivyo atabaki na kelele za walevi wa fiesta
Upuuzi mtupu
Huyo kibabu zama zake zimepita asitarajie kurud zama na nakshi nakshi,njiwa,Cinderela,one8,ndo yupo omega hvo ajiandalie mafao tu sio kuanza shindana na mdogo ake,,,ona sasa upowenyeewe tu kuku ww,mwambie kule kwa GT wtu hawafagilii upuuuzi,kama ww mwanamzik fanya muzik mzur wakusupport sio pila majungu tu,poor AliKiba
King? Ujinga mzigo.
Hebu tuondolee mav.i haya!
Huu uzi ni mahususi kwa mfalme Kiba tu!
Jamaa lenyew limekomaa, lina mabaka kama nguruwe mwenye mimba, silipendag kujifanya super star. Halafu anavyopenda kujipendekeza kwa wakubwa na waheshimiwa eti anajifanya anatafuta fursa na network sijui ameambiwa wale ni mitandao ya simu, mfyuu
hivi R kelly alikataa kupiga nae picha hahahahahahah
unapomuita mfalme uspecify ni mfalme wa nini, usikute ni mrithi wa mzee yusuph katika masuala ya Taarab
Unae fikilia kuwa fiesta ndo itamfanya huyo kiba wako awe kama diamond utasubili sana labda huyo kiba wako aombe tena Al- Kelly amwite kwenye wimbo mwingine wa maombolezo lasivyo atabaki na kelele za walevi wa fiesta
Jamaa lenyew limekomaa, lina mabaka kama nguruwe mwenye mimba, silipendag kujifanya super star. Halafu anavyopenda kujipendekeza kwa wakubwa na waheshimiwa eti anajifanya anatafuta fursa na network sijui ameambiwa wale ni mitandao ya simu, mfyuu
ukitaka uamini huyo jamaa hana mashabiki bali ni chuki za watu utaona idadi ya comments hahahahahahahahaha!H
Mtasandaaa nyie si mnajua kushangilia majukwaani kazi mnayo c mnafikili kuwa mzuri wa sule na urembo ndo kuwa na uwezo wa kufanya jambo mwambie jamaa yenu aongeze kujirembe aone kama atafika popote huyo kiba ni wa mikoani tu basiiiii
Mkuu sule, kujirembe ndio nini? Tuliza munkari kidogo ili uandike uelewekeMtasandaaa nyie si mnajua kushangilia majukwaani kazi mnayo c mnafikili kuwa mzuri wa sule na urembo ndo kuwa na uwezo wa kufanya jambo mwambie jamaa yenu aongeze kujirembe aone kama atafika popote huyo kiba ni wa mikoani tu basiiiii