Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Mkuu ni nini hasa sababu ya Ally Kiba, msanii mkali wa masauti kukaa kimya kwa muda mrefu lakini akarudi kwa shinikizo kutoka kwa Diamond Platnumz?

Je, unadhani kwamba Diamond asingekuwepo leo basi Kiba angelikufa milele kimuziki?

Asante!

absolutely that is the meaning, kiba alishapotelea kwenye kwapa za ze big mamaz mashabiki ndio walioanza kumpigia mavuvuzela na kupaza sauti, wakisema kibaaaa upo wapi?? bwana mdogo kipaji unacho sauti nzuri unayo kwanini unaacha bongo flava imilikiwe na bwana mdogo aliyekukuta kwenye game??? rudisha heshima bwana ndio na yeye akatunisha misuli nimerudi kuja kuchukua kiti changu, sasa swali ni nani aliyechukua kiti chake???
 
Mkuu sule, kujirembe ndio nini? Tuliza munkari kidogo ili uandike ueleweke

Binamu ndugu yako huyo anapenda umbea kuandika Hajui, atajiju atupishe apa tunaojua kuandika tujimwage alitumwa kukimbia shule? Kuandika kiingereza hatujui had kiswahili? Ebu mrudishe binamu yako umbwinde uko asituletee joto
 
Loh!!!!shoga angu dizaini sikuelewi jamani...hivi kuna mtu ambaye huwa anamponda ndomo huku kama wewe?imekuwaje tena???
Honestly sikulazimishi wala kukupangia mtu wa kumshabikia...Kweli mtu unayempenda unaweza kumponda vile???

huyo mbonaa team dai muda mrefu
by the way
matola kaongea points kweli jamani tunaomba wale mnaomfahamu aly k mwambieni aje huku wengine tulikua tunapondwa sana
nyuzi kibao za kuponda mwanadarsalam
Somji Juma please contact na kiba tupate kumsapoti
mi tshert ntannua yangu na ya mme wangu na mtoe na za watoto niwataftie wanangu tafadhali
humu team kiba
km humpendi pita kuleeeeee
 
Last edited by a moderator:
Unazijuwa level wewe?

hahahahaaa maskini hadi huruma yaani, no current updates inabidi tu tukatafute za mwaka 47, embu imagine opportunity huyu pimbi aliyopoteza??? sipati picha angeipata mondi hiyo nafasi
 
Dinazarde ebu tupishe apa usituaribie mood na ndomo wako, mbona wakat anazomewa pale leaders ukumtetea? Siku izi nipo busy maana nimepewa cheo na kiba kusimamia new project ya team kiba kwa hiyo please binamu usinipotezee ugali wangu, oooh , wenzio kuna bonge la project tunafanya yani itakuwa ni bonge la surprise , nadhan team domo kubwa mtaugua ebola ghafla

Kupisha sipishiii humu leoo,niueni sasa na huyo kiba wenu hana jipyaaaaa,hamna kiba bila ndomo kwa taarifa yenu mnatumia nguvu sanaaa na badoooooo
Bina nawe kwa kuhama kuhama sikusikii hata umkitaja Davido hhhhhaaa
 
Last edited by a moderator:
Jamanh huu umbea unanipita utadhani nipo station ya mwakanga treni la express halisimami, nitupieni jina hata pm twende sawa.

Anaitwa Bikira_wa_Kisukuma....nenda instagram um search kama nilivyoandika utamuona
 
Jamanh huu umbea unanipita utadhani nipo station ya mwakanga treni la express halisimami, nitupieni jina hata pm twende sawa.

Jipapase utaona nimekurushia kikaratasi kwenye mfuko was koti ulovaa

He hivi ulisikia kwamba watu wana kesi ya kuvaa magwanda ya jeshi bila kibali na tale alokamatwa? Ney was mitego ndo alitomboka
 
Kimya kingi kina mshindo, halafu Mrembo by Nature jioni unahitajika jukwaan, unajua nimemis umbea? Halafu nina maubuyu had naumwa, siku izi akina Dinazarde siwaoni au ndo mmeshaacha umbea nitafute wakala wengine? Maana siku izi naona mnajifanya hampendi umbea kabisa ooh

Hhhhhhaaaaaa mwaga maubuyu ushakua timu maandazi ukitiwa hamira kidogo tu unavimba,halaf naona hizi nyuzi zimekubanajeee
 
Last edited by a moderator:
Et mwana dar es slam na hvi huyo jamaa yenu amekuwa mzalamo toka lini kwann asijiite mwana kigoma au ndo utumwa wa kukukana uliko toka

Toa ukabila hapa sisi tunaongelea mziki...alafu unaonekana una hasira sana...poleeeeeee
 
jamani team daimond anzisheni uzi wenu tafadhali
nyie mnateam kibao huko ig
uzi mmoja tu wa kiba unawatoa roho
so btn two of us nani ana roho mbaya?!!
 
Jipapase utaona nimekurushia kikaratasi kwenye mfuko was koti ulovaa

He hivi ulisikia kwamba watu wana kesi ya kuvaa magwanda ya jeshi bila kibali na tale alokamatwa? Ney was mitego ndo alitomboka

Heheee leo shemeji umemtupa kule eeee hhhhaaaaa
 
Anaitwa Bikira_wa_Kisukuma....nenda instagram um search kama nilivyoandika utamuona

Jipapase utaona nimekurushia kikaratasi kwenye mfuko was koti ulovaa

He hivi ulisikia kwamba watu wana kesi ya kuvaa magwanda ya jeshi bila kibali na tale alokamatwa? Ney was mitego ndo alitomboka

Ngoja nichungulie mtaa wa pili narudi punde.
 
Kuna point gani hapo ya mimi kuelewa???Diamond anataka kushushwa na nani??Agenda hapa ni mpango mkakati wa sisi fans wa Kiba kuvaa tshirt yake ili kushow support kwake.....ina uhusiano gani na kushushwa kimuziki diamond.

Kwanini utumie nguvu nyingi kulazimisha kuwa sisi tuna chuki binafsi na Diamond??Wewe na fans wa Dai fanyeni yenu na sisi tufanye yetu.

Huwezi kunishawishi kumpenda Dai as kuna wasanii wengi tu wakuwapenda akiwepo Kiba na wengineo.

asanteeee
hivi kwani we ndo princess sayuni eeehh.....!!!
yani mbona hapa thread za naseeb ni nyingi sana na watu wanachangia uzi mmoja wa aly imekua shiiiiiiiiiddddaaaaaaas
 
Back
Top Bottom