View attachment 196708View attachment 196710
Team kibakuli mko bize kupost utumbo JF mmesahau kwenda kuzomea coco beach matokea yake ameshangiliwa mwanzo mwisho.
Au bajeti ya kukodia Costa haikupatikana .?
Nimesikiliza hako kauwimbo cha F.A ft kibakuli kanachoitwa kamevunja rekodi ya mkito ni kabaya najuta kumaliza bundle yangu....
Yani ananishangaza kwanini asipost izo picha zake za dai katika thread mojawapo kati ya zile mia walizofungua kwa pupa!!Umeombwa???usituchafulie thread
Yani ananishangaza kwanini asipost izo picha zake za dai katika thread mojawapo kati ya zile mia walizofungua kwa pupa!!
Ngoja nikujibu mrembo King'asti kwa niaba ya wenzio woooote wanaouliza hilo swali...
Hivi wakati Ali Kiba ana hit na cinderella,nakshi nakshi,dushelele n.k alitegemea anguko la nani?alitoka kivyake tena bila hata ya kutegemea skendo tulimjua na kumpenda sana...sasa iweje leo ategemee 'anguko' la diamond?kwa hiyo sasa mtu asitoe wimbo wake kisa kuna diamond?wenyewe wala hawataki ugomvi ni sisi mashabiki tu ndio tunaochochea
Ulitizama show yake kwa sporah?alisema amepambanishwa na watu wengi sana sio Kiba tu....iweje mumng'ang'anie yeye tu?tuache kazi zao ziongee jamani...aliyekua bora atajulikana kwa kazi zake...
Leo mmelala....nyts
Hapa ndio kuna watu...kule ataziona nani?
Hata hivyo bora angeziacha tu manake kajitia aibu sioni hilo shangwe wala nini