Ali Kiba Fans' Special Thread...

Mwana inarindima kwenye BBA wakati huu. Housemate wote wanapiga mduara. Kiba kaeleweka hadi kwa wasiojua Kiswahili.
Ova
kweli mkuu?
kama ni hivyo hongera zake,inaonekana kijana nyota yake yarudi......
 
Wana wivu hao honey. Wasage chupa wabwie washushie na jik na kiroba original.
Mkuu mbona ahadi yako haijatimia?I mean Ally Kiba kuwa na account hapa JF!
Kuna maswali nahtaji kumuuliza.....pia kumpa ushauri!
 
Mkuu mbona ahadi yako haijatimia?I mean Ally Kiba kuwa na account hapa JF!
Kuna maswali nahtaji kumuuliza.....pia kumpa ushauri!

Kiba yupo kwenye ziara kama Rais, jana alifanya show Dodoma kwa habari zaidi waulize wabunge waliohudhuria.
 
Nimeshangaa mpwa Matola kajibu kitu kingine wakati swali lilikua jingine kabisaa

Maana yake hata mimi nikiwa busy sana na matrip ya mikoani huwa sina muda na social networks, mazuri hayataki haraka hata kule jukwaa la siasa tulitumia muda kuwashawishi wanasiasa wawe wanakuja kujibu hoja.
 
Last edited by a moderator:
Kiba yupo kwenye ziara kama Rais, jana alifanya show Dodoma kwa habari zaidi waulize wabunge waliohudhuria.
Mkuu heshima kwako,show ilifanyika wapi na kwa kutumia ID ipi?Wabunge nao walitumia Verified User au Fake ID?
Ni hayo tu....
 
Maana yake hata mimi nikiwa busy sana na matrip ya mikoani huwa sina muda na social networks, mazuri hayataki haraka hata kule jukwaa la siasa tulitumia muda kuwashawishi wanasiasa wawe wanakuja kujibu hoja.

Haaaaa mpwa bana...
 
Maana yake hata mimi nikiwa busy sana na matrip ya mikoani huwa sina muda na social networks, mazuri hayataki haraka hata kule jukwaa la siasa tulitumia muda kuwashawishi wanasiasa wawe wanakuja kujibu hoja.
OK!Thanks for your clarification.....usichoke kumshawishi coz we need to advice and challenge him!
 
Jamani...Le Tamkozz Limewaumiza mtaa wa pili wanaishia kuqoete na kucopy thread,ndiyo kwenye uzi wao hatuendiiii,kwani lazima!!kama walianzisha uzi kumdiscuss Kiba hapo sawa,wanaishia kutokwa povu tuu...nyoooo!
 
King wetu🏃🏃🏃🏃🏃👉💟💟💟💟💟
 

Attachments

  • 1416035053050.jpg
    38 KB · Views: 78
Haaaaa mpwa bana...

OK!Thanks for your clarification.....usichoke kumshawishi coz we need to advice and challenge him!

Labda tu bila unafki wala kumuonea mtu aya kwa sababu mimi si muumini wa Unafki Kiba ana weakeness kubwa sana ya Communication kama kawaida wasanii wetu shule ndogo nayo inawacost sana, mimi nilishangaa yeye kuniadd Facebook wakati hilo halikuwa lengo la kuwasiliana naye.

Akirudi Dar nitaonana naye ana kwa ana na nitamueleza kinagaubaga udhaifu wake huu na kumkaribisha JF.

Diamond eneo hili la PR amelitumia vyema na ukiongeza uwepo wa Wema walifanikiwa kuteka attention.

Si jambo la ajabu kukuta watoto wengi wanaochipukia wakawa ni wapenzi wa Wema na Diamond kwa sababu ndio wamekuwa wakiwasoma kwenye magazeti ya udaku na wengine wapo tayari kusikia baba na mama zao wanaachana lakini siyo Wema na Diamond.
 

Izo account sio zake
 


yeah this is totaly true, Kiba kajiweka mbali mno na media kitu ambacho kinafanya asahaulike, si kuwa na skendo tu ndio kuwa karibu na media bt inatakiwa ajue namna ya kuteka mashabiki wake kwa kuwa karibu nao, mshauri bwana kwa hilo na usichoke atakuelewa tu
 
King wetu🏃🏃🏃🏃🏃👉💟💟💟💟💟

Awwwww jamani ahsante....picha tam sana hii...lazima nijipatie nakala yangu within this week...vipi naweza kusoma online?
 
Jamani...Le Tamkozz Limewaumiza mtaa wa pili wanaishia kuqoete na kucopy thread,ndiyo kwenye uzi wao hatuendiiii,kwani lazima!!kama walianzisha uzi kumdiscuss Kiba hapo sawa,wanaishia kutokwa povu tuu...nyoooo!

Kuna mjinga alikuja hapa kunichokoza baada ya kuona siendi kule kwao...nikatulia akaingia mkenge akamwaga matusi weeee akidhani nitajibizana nae,mimi walaaa alifeli kwa hilo sasa hivi yupo kifungoni mimi napeta...
 
Awwwww jamani ahsante....picha tam sana hii...lazima nijipatie nakala yangu within this week...vipi naweza kusoma online?

Online vichwa vya habar vya mbele tu bora utafute nakala yako

Ndani kazungumzia project ile ya yy na cabbo snoop aliamua tu kuvipga kimya mpka video yake ipo

Liko poa litafute
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…