Ali Kiba Fans' Special Thread...

Nampenda mno ally kiba yaan.hata nikisikiliza zile nyimbo zake za nyuma kitu macmuga karim njiwa mwanadsm asee napata hamasa ya kuzid kumsikiza nilimpenda diamondo kipindi cha mbagala nikase asee kichwa kipya hiki alinivuruga na kuniboa alipoanza kuzivua chupi za waschana yaan nkaona dogo anapagawa na umaarufu halaf misifa imemzidi mdomo mbaya hiv huyu akizamia chumvini mdomo wote si unafunika k??? Msanii gan.hupenda skendo kujitangaza magazet yote ya gpl ana hisa nayo me ananiboa??? Wanajiita wasafi for which purpose wakat ana uchafu umemganda?? Ally k for real popitin.........wenye wivu wakadek bahari
 

Umenichekesha ulipoandika akizama chumvini mdomo wote unafunika k ha ha ha hata chapati hakunji domo ka mamba ha ha ha
 

kwan al k hazivui chup,hv hao watoto watatu amewapataje?hv ndoa yake ilkuwa ln?km hajawai kuoa na ana watoto bac al k pia n malay@ km daimond tu
 

karibuni chamani aly k4ril
 

hey dada Matola where is your shosti warumi???
 
Last edited by a moderator:
hey dada Matola where is your shosti warumi???

let me tel u this youngman
hakuna kitu kizuri km heshma
ukiheshimiwa jiheshimu
kaka tafadhali,hujaitwa mwanahizaya,
kwa kinaume gani ulichokua nacho uite wenzio gays,
mwanaume mwenye kinaume aliyeenda jando anaweza kutamka uchafu huooo....?!!
una nini wewe kifurugobe
usie na haya,hujui vbaya mwanamtoka pabaya
lengo thread ifungwe etiii...!!
mmeona hatuwafati umeona uje kulete hizo zako za kuleta hukuu
komaaaaaaa tena komaaaaaaaaaaa....!!!
 
Last edited by a moderator:
jamaa yenu ni mpunga watu wana twanga.evidence zipo.

si uwafate huko huko kwani wanafanyia kwenye uzi hebu at least heshmu wazazi wako waliokulea kwa kuhifadhi maneno yako
usitake tuwatieni hatiani au tuwatukane wazazi ambao hawana makosa ht kidogo kwa tendo lao la kukuleta wewe duniani
 
Kwenye uzi wa Dai,mmemvua nguo Kiba,mmemtusi matusi yote na dhihaka za kila namna hatujawajibu kwa kuwa kule hakutuhusu!wanaume wazima kama sio ukurubembe unaowawasha kuja kuuza minduku huku ni kitu gani hasa wewe mtoa huduma naona unajipitisha pitisha hapa kama hayawani!!Kama Matola dada,na warumi dada basi mfungua sredi wenu ni kubwa la madada!!Staha imewashinda ushabiki hamuuwezi mpaka mjifurahishe kwa kuwatukana opposers wenu mfyuuu zenu!!na uzi haufungwi virusi vya ebola nyie,mfyuuu!!
 

ha ha ha naona wa mtetea shosti yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…