suregirl
JF-Expert Member
- Jun 8, 2012
- 6,056
- 196
Nampenda mno ally kiba yaan.hata nikisikiliza zile nyimbo zake za nyuma kitu macmuga karim njiwa mwanadsm asee napata hamasa ya kuzid kumsikiza nilimpenda diamondo kipindi cha mbagala nikase asee kichwa kipya hiki alinivuruga na kuniboa alipoanza kuzivua chupi za waschana yaan nkaona dogo anapagawa na umaarufu halaf misifa imemzidi mdomo mbaya hiv huyu akizamia chumvini mdomo wote si unafunika k??? Msanii gan.hupenda skendo kujitangaza magazet yote ya gpl ana hisa nayo me ananiboa??? Wanajiita wasafi for which purpose wakat ana uchafu umemganda?? Ally k for real popitin.........wenye wivu wakadek bahari