Kwenye uzi wa Dai,mmemvua nguo Kiba,mmemtusi matusi yote na dhihaka za kila namna hatujawajibu kwa kuwa kule hakutuhusu!wanaume wazima kama sio ukurubembe unaowawasha kuja kuuza minduku huku ni kitu gani hasa wewe mtoa huduma naona unajipitisha pitisha hapa kama hayawani!!Kama Matola dada,na warumi dada basi mfungua sredi wenu ni kubwa la madada!!Staha imewashinda ushabiki hamuuwezi mpaka mjifurahishe kwa kuwatukana opposers wenu mfyuuu zenu!!na uzi haufungwi virusi vya ebola nyie,mfyuuu!!
Kwenye uzi wa Dai,mmemvua nguo Kiba,mmemtusi matusi yote na dhihaka za kila namna hatujawajibu kwa kuwa kule hakutuhusu!wanaume wazima kama sio ukurubembe unaowawasha kuja kuuza minduku huku ni kitu gani hasa wewe mtoa huduma naona unajipitisha pitisha hapa kama hayawani!!Kama Matola dada,na warumi dada basi mfungua sredi wenu ni kubwa la madada!!Staha imewashinda ushabiki hamuuwezi mpaka mjifurahishe kwa kuwatukana opposers wenu mfyuuu zenu!!na uzi haufungwi virusi vya ebola nyie,mfyuuu!!
jamani mpuuze tu dear, mdomo kapewa na halipii vat, bora kumchunia tu, wengine wana laana za kuzaliwa ukiwafuatilia unajipa shida tu
My god!!! Unawezaje kumjua mchawi kama nawe sio mchawi
Nahis utakua n mmoja wao maana usinilazimishe kuamini nisichokitaka
let me tel u this youngman
hakuna kitu kizuri km heshma
ukiheshimiwa jiheshimu
kaka tafadhali,hujaitwa mwanahizaya,
kwa kinaume gani ulichokua nacho uite wenzio gays,
mwanaume mwenye kinaume aliyeenda jando anaweza kutamka uchafu huooo....?!!
una nini wewe kifurugobe
usie na haya,hujui vbaya mwanamtoka pabaya
lengo thread ifungwe etiii...!!
mmeona hatuwafati umeona uje kulete hizo zako za kuleta hukuu
komaaaaaaa tena komaaaaaaaaaaa....!!!
si uwafate huko huko kwani wanafanyia kwenye uzi hebu at least heshmu wazazi wako waliokulea kwa kuhifadhi maneno yako
usitake tuwatieni hatiani au tuwatukane wazazi ambao hawana makosa ht kidogo kwa tendo lao la kukuleta wewe duniani
Ah ww aly k ana watoto huyo kidampa wenu hana hata mdoli wa kuzugia
jamani c wana kale kambwa
kupost kwenye hii thread ya mashosti ni upuuzi na kuwapa kick za kijinga let me leave this reckless sred.
go to hell u son of bitch...!!!
no time to argue with a who.re in this bitnches sred.have a gud day.
Hawa watoto saa nyingine ni wa kuwapuuza tu foolish age inawasumbuwa tu, wengine kwenye maisha halisi huwezi kukutana nao mpaka mwisho wa dunia, hakuna any connection ya kukukutanisha na wapuuzi kama hawa.
Wanauzi sana...kah kama wamelipwa minduku kuwasha tu wale....
Sisi tumejifunza kwa mtu tunayemshabikia. Ona, licha ya chokochoko zako lakini bado hakuna aliyekuwa tayari kulumbana na wewe. Kiba ni mstaarabu sana, nasi tumeiga kutoka kwake. Hutaona mtu anapoteza muda kukukabili. Ongea ukimaliza utaondoka.
Endapo sisi tutaanza kulumbana nawe kwa lugha chafu kama zako, tutakuwa tumekwenda kinyume na Kiba mwenyewe, na nadhani tutakuwa tumemdhalilisha sana. Walianza wenzio kutukana, hatukupoteza muda nao, wakaondoka zao wametuacha tunakamua.
Fujo ndio maisha yenu, kwani hata huyo msanii wenu amekuwa ktk maisha ya fujo tu, kaomba collabo na Kiba kwa kubembeleza kisha akaona kafunikwa kaamua kumfuta na kuiba mistari aliyoandika kwenye verse yake na kuiimba yeye.
Na bado, eti kasikia Kiba anatoa Mwana, naye kaachia video mbili kwa mpigo eti aifunike, lakini matokeo yake kafunikwa yeye na kuzomewa juu. Na sasa kasikia Kiba anataka kuachia video ya Mwana mwezi Novemba, eti naye anataka kuachia video mbili. Sasa ndo atazimishwa kabisa.
Ova
Safari njema ila usisahau kupita kwa Ras Simba akufundishe English.
Kiba aache ukimya awe anafanya kweli,wenzake wanatengeneza album ndani ya mwaka yeye video tu ya wimbo kutoa inachukua miaka