Mkuu leta basi link kama umeshaipata tufanye yetu...afrimma.com/nominees-2015/ fasta tumpigie #KingKiba
Ama nini? Sisi kazi tu maneno tuwaachie waswahili wa tandale.Hapo tupatiane link tuingie mzigoni hatucheleweshi Familia ya Ma king Kibaaaa.
Management ya kiba naona ndo tatizo sidhani kama wanahangaika ktk kuteka soko la nje na pia kiba anatakiwa aishi kistaa, awe mbunifu, abadil style inapobid kwan mziki biashara sio kubak style ile ile sio makumbusho lazima a change kusaka soko, management yake iwe na kiu ya kwenda mbele zaid sio kiu tu bal tuone utendaj wa hyo management, alaf kwa mashabiki hizi team znaua mziki, tunatakiwa kusapot wasanii wote ila wasanii wanaosapotiwa wasilete nyodo washukur mashabik woote sio kuleta vijembe sijui na vishoka sio vizur mziki ni wetu wasanii ni wetu nchi ni ya kwetu tusapoti vya kwetu.
Mkuu Umeeleweka Sana.Naamini King Amekusikia.Naamin Kwa Maoni Yenu Tutapaja Mrejesho Chanya Very Soon Kutoka Kwa Kingkiba(The Greatest)
Binafsi nataman afike levo flan hivi ila uwezo tu sina Mungu ambariki sana.
Poa poa mkuu, ngoja niingie mzigoni narudi na screen shot sasa hivi
#KingKibaForAfrima2015
Ukimaliza kuingiza unishtue.....
Maana hadi sasa I feel nothing
Hawana jema hao kila kitu kwao ni kibaya tu. Na watasanda sana Kiba is back tena kwa nyimbo mbili tu kapata nomination sio mtu wake anatoa nyimbo daily hata hazidumu.Wameshaanza kulia lia ooh kapata nomination moja, wamesahau King karudi majuzi tu na balaa lote hili linatokana na ngoma zake 2 tu tofauti na huyo ndomo anayefyatua mpya kila uchwao.
#KishetiChaMombasa vichambo vimemkolea hana jinsi imebidi akimbie tu.
Let me vote Actions speaks louder than words.
Mwenyewe nafungua haifunguki sijui kwa niniAfu haifunguki kwa saiv au ni kwangu tu.. ww umejaribu imefunguka????
#KingKiba_Forever
#We_Love_Our_King
Wamezidiwa wenzenu...chezea King kawa nominated wewe?Mwenyewe nafungua haifunguki sijui kwa nini