Ali Kiba Fans' Special Thread...

Wito wangu kwa Kiba, afollow watu wengine, hasa wasanii.
Nitapiga hii kelele, kila siku.
Hao clouds, muda utashughulika nao.Si mnaona dahuu kaumbuka.

Sitaki kuona nani kamfollow Ali Kiba.Nataka kuona Ali kiba kamfollow nani.
Hivi hamuelewi umuhimu wa kumfollow mtu??

Huyo STAN BAKORA ndio nani?.Na ana manufaa gani kimziki?
Jamani, shule muhimu sana.Muwe mnamshauri vitu vya maana.Tunaoumia ni sisi mashabiki zake.
Yani hii pointless my dear

:thumbup::thumbup::thumbup: nakupongeza, huo ndo ushabiki sasa!
 
Ms.Lincoln kwani usipofollow watu ndo huoni picha zao vitu vyao wanavyofanya ndo maana alimuwishi stanbakora happy birth day alijuaj?

You have failed this royal family u have let down this royal family n mawazo yko 🔫🔫🔫
 
Last edited by a moderator:
Oya oya baby collaboooo collaboooo i know u want this collabooooo collabooo, na collaboooooo hahahhahahahah. Ohhh msaniii local hahahhahahahaa yani lazima mbowwwww kwa le king.
 
You have failed this royal family u have let down this royal family n mawazo yko 🔫🔫🔫

Naona wewe unalipwa full time job ya kushinda humu kwa kiba hahahaahah, kazi unayo bibie. vipi domo keshaanza kujifua kwa ajili ya kunengua huko kilimanjaro hahhhahaa.wapiiiii iyobo, mpeni tuzo yake bana
 
Naona wewe unalipwa full time job ya kushinda humu kwa kiba hahahaahah, kazi unayo bibie. vipi domo keshaanza kujifua kwa ajili ya kunengua huko kilimanjaro hahhhahaa.wapiiiii iyobo, mpeni tuzo yake bana

Eeeeh aya twende sankoro sankoro unanitaka sankoro km ronaldooo tunakuja,n style mpya inaitwa #mnyoshoo
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…