Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana tabia za kitoto sana kuja kutuharibia Uzi tu kiba tumemkubali na ana nafasi yake mbona siye hatuendagi kuwachafulia Uzi wao.. hao watu wanaboa sana kwa kweli. tatizo lao huku wameona kimbilio
Ila kiba anazingua sometimes mwaka unaishia jamaa katoa wimbo 1 tu, unajua sometimes hata nguvu za kumtetea zinaisha, mimi hata hizo collabo za bella na saut sol mi sina hamu nazo, kwani sion zikimpeleka king mbali, colabo inatakiwa afanye na watu wa nje ya east Africa sababu huku east tayar ana jina kinachotakiwa ni kulibrand juna lake sehem zingine.
Miss you my Avemaria. ..umepotea kinoma noma.
Jamani,tutakumiss sana dear.Basi usiwe unapotea sana...uwe unakuja kama hivi.Nipo mpendwa wangu.
Miss you too japo huku nitawagaya kidogo!
Wana tabia za kitoto sana kuja kutuharibia Uzi tu kiba tumemkubali na ana nafasi yake mbona siye hatuendagi kuwachafulia Uzi wao.
Wengine sijui walizaliwa bahati mbaya bora wangekua samaki. Utoto mwingi msanii wao ni bora lakini hawajiamini.
Ila kiba anazingua sometimes mwaka unaishia jamaa katoa wimbo 1 tu, unajua sometimes hata nguvu za kumtetea zinaisha, mimi hata hizo collabo za bella na saut sol mi sina hamu nazo, kwani sion zikimpeleka king mbali, colabo inatakiwa afanye na watu wa nje ya east Africa sababu huku east tayar ana jina kinachotakiwa ni kulibrand juna lake sehem zingine.
Hureeeeeee sasa hivi nahamia siasani kwakweli.lowasaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
At least kaonekana ma avator yanatisha ka nini#dadabeseni umebadili avatar duuh umeweka ya baby nini
Siasani ndo kunanifurahisha kwaa sasa hili jukwaa nalipa likizo kidogo,Hureeeeeee sasa hivi nahamia siasani kwakweli.
#dadabeseni umebadili avatar duuh umeweka ya baby nini
Hureeeeeee sasa hivi nahamia siasani kwakweli.
Nimechoka kwakweli maana comments zangu zinafutwa kila wakati.Siasani ndo kunanifurahisha kwaa sasa hili jukwaa nalipa likizo kidogo,
At least kaonekana ma avator yanatisha ka nini
Nimechoka kwakweli maana comments zangu zinafutwa kila wakati.
Huko siasani nadhani watanipumzisha.
upo hope uko fresh. chukua hiyo
Wewe acha tu, juzi kuna mtu aliandika utumbo nikamchana basi nashangaa comment yangu ikafutwa.Wattttt..
kumbe bado wanafutaga tuu.