Ali Kiba Fans' Special Thread...

. hao watu wanaboa sana kwa kweli. tatizo lao huku wameona kimbilio
Wana tabia za kitoto sana kuja kutuharibia Uzi tu kiba tumemkubali na ana nafasi yake mbona siye hatuendagi kuwachafulia Uzi wao.
Wengine sijui walizaliwa bahati mbaya bora wangekua samaki. Utoto mwingi msanii wao ni bora lakini hawajiamini.
 

Mkuu umeongea vema...

Wapi mkuu pwilo athibitishe hii kauli..
 
Last edited by a moderator:
Wana tabia za kitoto sana kuja kutuharibia Uzi tu kiba tumemkubali na ana nafasi yake mbona siye hatuendagi kuwachafulia Uzi wao.
Wengine sijui walizaliwa bahati mbaya bora wangekua samaki. Utoto mwingi msanii wao ni bora lakini hawajiamini.

wanaboa sana kila mtu anapenda kile anachokiona kizuri. hawa wenzetu fujo zimewajaa sana. utoto umewazidi sana.
 

That wat we call real fans" :thumbup:
 
kiba kibakuli bwana tembo anahangaika kuvujisha nyimbo alianza n wife wa dunia akaja hella kaja n school baby pwilo unamzungmziaje msanii wenu hajiamini eeh n nyimbo izo zote n mbaya nimezickiliza zote
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…