Ali Kiba Fans' Special Thread...


Ila bora aliwapigia apate ulaji maana sipate picha angevyobaguliwa. Tungoje visasi kwa wasanii waliopigia ukawa
 
Mimi ndio kabisaaaa sijui kama yuko nominated kwenye tuzo zozote zile.
Siasa zimeondoa mapenzi yangu kwa Kiba,japo ukiangalia kwa jicho la 3 jamaa hakuwa na namna.
Kibongo bongo angepotezwa.
 
Tatizo mashabiki mbulula menijimenti ndo usiseme,amfuate dmond amfundishe muziki,mashabik so wanakuambiaga una sauti nzuri,mboni utambi?anawe so king umerudi tena,Why always Diamond platnumz anabeba matuzoz?
Matola kunani Leo @Afrimma tumewatoboa badala ya kumpigia king wenu wapga kwa davido.
 
Last edited by a moderator:
Mimi ndio kabisaaaa sijui kama yuko nominated kwenye tuzo zozote zile.
Siasa zimeondoa mapenzi yangu kwa Kiba,japo ukiangalia kwa jicho la 3 jamaa hakuwa na namna.
Kibongo bongo angepotezwa.

Lakini ni ngumu kumpoteza Kiba hata ingetokea asishiriki kampeni zao.
Mashabiki wa Kiba sio wa msimu na wala sio wa kuibuka tu ni watu ambao wanampenda tangu kitambo na wanaimani na kipaji na kazi zake.

Kwangu mimi cha muhimu kwa Kiba ni reputation yake kimuziki Africa na dunia nzima ambayo untill now kwakweli haijafika anapopastahili. Pesa kama pesa anaipata tu coz yeye sio mtu wa kukosa goodlife na mpaka hapo alipofikia kila kitu kinachohitaji pesa ana uwezo nacho.

Anyways.....kwakuwa la kampeni limeshatokea na halirudishiki basi tuliache lipite kama lilivyo na hizo tuzo tusubiri tu itakavyokuwa ila kiukweli tunazihitaji sana maana mataifa hatuongei lugha moja wote hivyo sio rahisi wadau wote kukutambua globally ila kadri mtu unavyonominatiwa na kupokea tuzo kubwa kubwa za kimataifa ndivyo unavyojitambulisha mbali zaidi.
I hope nilivyoviona kwenye IG acc ya Kiba ni vitu vizuri kabisa pengine vitateka attention ya wengi hususan shabiki zake walokuwa wamemkacha due to campaign things.
 
Ingieni insta mtajua anachotaka kutoka nacho, baada ya nagharamia kutoka.. itafuta video ya "lupela" aliyoenda kufanya shooting Los Angels..
 
No collaboration no awards for Tanzanian artists
 
Kumkatia tamaa haipend[JFMP3][/JFMP3]ez no one is perfect

Hatujamkatia tamaa ndugu and if you read me well nimeandika mashabiki wa kiba sio wa kuibukia ni watu ambao tunamfeel toka kitambo tena toka moyoni hatuongozwi na mihemko na ndo maana pamoja na kitabia chake cha uslow lakini bado tuna hamu nae.....hatuchoshi!
 

Hapo sawa, diehard fans ndo wanapatikana kwa kiba tu
 
Hapo sawa, diehard fans ndo wanapatikana kwa kiba tu

Kuna kwale mmoja kwenye uzi flani wa wizkid nimemuona anasema eti teamKiba tunaonesha kusurrender kwa sababu tunawasifia wizkid/davido dhidi ya diamond. Hahah nimejipitia tu nikacheka mwenyewe coz yale maneno kama maneno mengine ya kujiaminisha mradi basi tu ajifariji!

Mimi kuna watu wanaweza wakaimba wala hata nisishtuke lakini kwa Kiba doooouu heheh kautamu lazima kapenyeze tu.
 
Yaani mi akili yangu ilishagoma kabisa kukubali eti diamond ni mkali zaidi ya Kiba......mmmmhh hapana kwakweli japokuwa currently dai ndo ameonekana kufana sana.
 
Yaani mi akili yangu ilishagoma kabisa kukubali eti diamond ni mkali zaidi ya Kiba......mmmmhh hapana kwakweli japokuwa currently dai ndo ameonekana kufana sana.

Mimi hata huwa hanishtui hata afanyaje, ila kiba hata akifanya kitu kidogo tu nakikubali.. kiba ni fundi sana kule cokestudio wote walimnyooshea mkono jinsi anavyoimba, ile miaka mitatu niliteseka sana
 
Mimi hata huwa hanishtui hata afanyaje, ila kiba hata akifanya kitu kidogo tu nakikubali.. kiba ni fundi sana kule cokestudio wote walimnyooshea mkono jinsi anavyoimba, ile miaka mitatu niliteseka sana

Alafu umenikumbusha ile nyimbo ya boo aloimba Victoria Kimani.....nzuri!!
 
Yaani mi akili yangu ilishagoma kabisa kukubali eti diamond ni mkali zaidi ya Kiba......mmmmhh hapana kwakweli japokuwa currently dai ndo ameonekana kufana sana.

Mhhhhh wewe sio dearest sis kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…