Ali Kiba Fans' Special Thread...

Mondiiiiiiiiii magazeti mpaka leo yanahangaika huyo mganga wako ni nani??? hahahahaha embu wape ka siri ka mafanikio na wenzako basiiiiiiii usiwaache nyuma nyuma hivoooo

Ahh je utanipendagaaa?
Au nawe utanimwagaa?
 
Ana maanisha ni noah na yupo serious
Ndio nipo serious kwani mi nafanya kazi ya kuosha magari
Na ana hadi bajaji kama hii

Na taxi hii apa

Ila kedrick sijui utaacha lini umbea ??
 
Last edited by a moderator:
Ndio nipo serious kwani mi nafanya kazi ya kuosha magari
Na ana hadi bajaji kama hii

Na taxi hii apa

Ila kedrick sijui utaacha lini umbea ??

Najua ujui jina la gari ilo ni Lexus
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…