Nipo mkuu vp??
fresh. za siku kidogo?Nipo mkuu vp??
Mkuu kama kawaida harakati zinaendelea mkuufresh. za siku kidogo?
haina noma. tuendeleze harakati za kupigania mziki wa kingkibaMkuu kama kawaida harakati zinaendelea mkuu
Kwa sababu umeona limeandikwa sio sasa unaniuliza jina la gari ambalo hata dogo langu hapa analijua stupid kabisa au unajua mi nakaa tandahimba nini kedrick [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] unapendaga battle sana acha utoto grow up its 2015 endNajua ujui jina la gari ilo ni Lexus
We huoni ni noah hiyo au macho huna
Kwa sababu umeona limeandikwa sio sasa unaniuliza jina la gari ambalo hata dogo langu hapa analijua stupid kabisa au unajua mi nakaa tandahimba nini kedrick [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] unapendaga battle sana acha utoto grow up its 2015 end
Inatoka siku moja kabla ya siku yko ya kufa"Video ya nagharamikia inatoka lini,?
Pamoja mkuu tuko pamojahaina noma. tuendeleze harakati za kupigania mziki wa kingkiba
Asee shemeji na we umekua wa ajabu sana yani
haina noma. tuendeleze harakati za kupigania mziki wa kingkiba
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] mnamfanya kiba hana akili sio hii game lazma uwe mjanja sio unakurupuka tuu sisi tushazoe kuanza na audio video baadae nyie endeleeni ku achia kwa pamoja #iga ufeKweli kabisa mkuu, kama upo nae karibu Mwambie asizingue ni kosa kubwa kutolitendea haki jina na heshima tuliyompa mashabiki
cute b yupo bize buanaa...
Ila akija kweli tutaelewanaa maana....
Vip lakin harakat za king zinaendaje? Kideo lini mkuu....
Tunaisubir....alafu why inachelewa? King kapata hindrance gan? Mkuuu
mashabiki wa mondi mna tabu sana. leo hii mnataka kiba atoe. endeleeni kwanza kufurahia kazi ya mondiSasa hapo mbona hamna paniki yoyote...! Mkuu