kilimbamula
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 1,792
- 853
nifah Abou Saydou atoto tufunge mjadala mambo mengine yaendelee who's kiba by the way "; don't panic
Hebu wataje kwanza waliosaliti kambi.
Hivi kumpongeza Diamond kwa wimbo wake ndio imekuwa nongwa?
Huo ni ushamba,ukweli utabaki kuwa ukweli.
Mimi bado na nitaendelea kuwa shabiki mkubwa wa Kiba.
Huu ni usabiki na sio uhasama kama Simba na Yanga kwamba wana msimbazi hawawezi kuwakubaki wajangwani hata wafanye vizuri vipi.
Hivi ushawahi kujiuliza wanamuziki wengine ukiachana na diamond wanavyojisikia ambao walikuwa active kipindi kiba alikaa pembeni lakini kiba alivyorudi ni kama wamesahaulika na kiba kaenda straight kwenye peak. ...najua unajua lakini napenda ujue zaidi kwamba kiba ndo msanii pekee ambaye hana company kubwa ya wanamuziki wenzake lakini mwenye fan base kubwa TZ
Yap uwepo wa hizi teams umeharibu sana mambo mengi... Sometimes naona kabisa, hasa V mtonyo kwa alipofikia alitakiwa awe na support kubwa kuliko hata ya Kiba, coz wasanii wa kike wanaofanya vizuri Afrika ukitaja watatu huwezi kumuacha Vanessa lakini baaado wabongo tumeweka tinted kwenye juhudi zake, na hata alichofanya Ben pol juzi kina reflect hili...
Na kuja kuisha beef haiwezekani, coz kiba ndio anaponea hapooo, likiisha tu hatatofautiana na abdukiba.
Sasa v money ni msanii yule au vile vichupi mule kwenye videoYap uwepo wa hizi teams umeharibu sana mambo mengi... Sometimes naona kabisa, hasa V mtonyo kwa alipofikia alitakiwa awe na support kubwa kuliko hata ya Kiba, coz wasanii wa kike wanaofanya vizuri Afrika ukitaja watatu huwezi kumuacha Vanessa lakini baaado wabongo tumeweka tinted kwenye juhudi zake, na hata alichofanya Ben pol juzi kina reflect hili...
Na kuja kuisha beef haiwezekani, coz kiba ndio anaponea hapooo, likiisha tu hatatofautiana na abdukiba.
Kwaio matimu kiba mwamchukia V.Dollaz.ha ha ha ha ni wakiintaneshinale yle tafauti na kiba yule.
Kwaio matimu kiba mwamchukia V.Dollaz.ha ha ha ha ni wakiintaneshinale yle tafauti na kiba yule.
nimekuwa active katika hili jamvi kwa siku mbili tatu. .nimegundua unateseka sana na kiba!
Recho ni zaidi ya Vanessa sema fitina tuHahahaha we ndio hater, kwasababu Vanessa ni mtoto lakini ana mafanikio makubwa internationally kuliko kiba then ndio umponde??? watch out usizeeke mchawi, hayo mazoea hujenga tabia mbaaya sana.
Mi sio hater kama unavosema, mi niko poa tu na kiba ninasikiliza nyimbo zake kama ninavosikiliza za mirror sema tu kile alichosema Ben pol OVERRATED ndio wanachofanya mafwansi hahaha
Achana nayo hiyo gas mkuu ni hatari sana unabishana na gasNimekuwa active katika hili jamvi kwa siku mbili tatu. .nimegundua unateseka sana na kiba!
Hamna anayemchukia v money na unafiki wako ila kuimba 0 kukaa uchi 100% kusikiza nyimbo za mirror kiba hayo ni maamuzi yako ila v money wakawaida sana labda kwa umalayaEti wanashangaa kwanini V Mtonyo na SIMBA PLATNUMZ ndio wametoboa internationally huku wao wapo nyuma hawaelewi sababu ni zipi, kinachobaki ni kuota kuna figisu figisu hahahahahaha hatari saaaaaaaaana saana
Recho ni zaidi ya Vanessa sema fitina tu