zai katoto
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 325
- 227
Kwa heshima yako Diva wa ukweli na heshima yangu juu ya Kiba naachana na huyu Katoto mnuka k,ashazoea kusagwa na kukobolea ndo maana anakuja kujitongozesha kwangu!!Ila nasemajeee hapa lazima mjeeee!Utam wote,raha zote na masham sham ya ukweli yapo kwa Kiba!!
samahani kwa niliowakwaza but kwa walioingia kwenye kumi na nane zangu ili wanikomoe ujumbe wa usiku huu ni ardhi hauikomoi kwa kuikanyaga na dawa ya moto ni moto tuuu
Kweli sasa naamini mtaa wa pili wote mko huko nanjilinji....
Asiyemjua diamond mjini hapa nani hadi ushangae sisi kumjua sana?
Tulia wewe watu tuna info zake hadi alivyokua anakunywa gongo kabla hajatoka basi tu hatusemi....
Kafie mbele...sitaki mazoea na mnuka chupi kama wewe!!
jamani pleas mi naomba achaneni na hao warugaruga waliokuja mjini kwa tiketi ya vyuo hebu tujadilini ya msingi
jamani pleas mi naomba achaneni na hao warugaruga waliokuja mjini kwa tiketi ya vyuo hebu tujadilini ya msingi
jamani pleas mi naomba achaneni na hao warugaruga waliokuja mjini kwa tiketi ya vyuo hebu tujadilini ya msingi
Duuuh hii hatarii mpka supu y mawe,we nifah unaleta ugomvi w ngumi
jamani pleas mi naomba achaneni na hao warugaruga waliokuja mjini kwa tiketi ya vyuo hebu tujadilini ya msingi
Kafie mbele...sitaki mazoea na mnuka chupi kama wewe!!
Unajua kuappreciate mpaka raha yaani sometimes unamjengea picha mtu kwa anavyoandika. ..nna asilimia 100 kale kachupi chafu hakiwezi kuandika hivi. ..vitoto kama vile hata ukivitoa dinner havichelewi kukuambia hiyo hela bora ungempa yeye akasuke. ...kiswaziswazi kipo
Ndio maana singii kwenye uzi wao, yaani vichwa vyao vimejaa matusi matupu. Yaani hapa wamekuja wawili tu na wametibua ustaarabu wote wa uzi huu. Hebu tuwaache waondoke.
Ova
Hahaaaa na udakuzi wako wote hii habari huna?basi take it from me...alikua anakunywa gongo vibaya sana kama huamini nenda katafute video yake ya kwanza yeye na Romy Jones na fatma utacheka kama chizi
Duuh ndio mana afya imekataa thou anapata pesa haya maisha tuyaache 2 back ground z watu ni hatari,cku hizi anakunywa jd,ciroc,hennesy n absolute.huyo romy jones n nani yke
Matola ongeza pesa bana we mtu mkubwa hivyo umetembea nchi zote duniani,,umekaa meza moja na watu maarufu na wakubwa duniani unatoa 20000 au umesahau zero moja ninii !!!!!! Moderator aongeze pesa bana kwa heshima kubwa aliyonayo matola jfKwa hisani ya Mkuu Matola, nathibitisha kuwa amefikisha habari kwetu kutoa zawadi ya thamani ya shilingi elfu ishirini (20,000/-) kwa ajili ya mshindi atakaye bahatika post yake kuwa ya kwanza kuingia ukurasa wa 100 katika uzi huu.
Kwa taarifa zaidi wasiliana na Mkuu Matola ambaye ni mwandalizi wa zawadi hii. Zawadi hiyo itatolewa na Moderator wa JF.
Wasalaam!
Ndugu yake,mama zao wamezaliwa pamoja yaani mtoto wa mamkubwa na mdogo