Phoenix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 10,585
- 15,468
Ushauri mwingine aendeleze jadi yake ya ustaarabu na utulivu,asije akategemea sana scandal na mbunye kupata kick!!Hakuna kitu kibaya kama iki,yani Ally ana three kids na bado ana keep his profile low!Ila aache kunichefua kuvaa ovyo kama anaenda kupiga story kijiweni akat yupo stejini!ha,kama hawez kumuengage designer wifi naye achangamke jamani lol!Aige mazuri ya kulee,he should keep it proffessional!!