Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Kakosaaaaa fungulia home theater hizo hadi mwisho...Mimi naserebuka hapa na mwanadaslam....chezea
Hana vigezo atiii au hujuma tena!waandaaji walilipwa na nani saa hii!
 
Tatizo wabongo ni tu watu Wa ajabu sana.mnashindwa kujua mziki aimbao diamond na aly kiba kua ni tofauti sana.alikiba anamashairi mazuri sana ktk kuiasa na kuikanya jamii.diamond anaimba mziki Wa kibiashara ile soko linataka,ndo mana imekua rahisi kukubarika hata nje ya nchi.hawa watu kwa mtazamo wangu wameanza kujielew ndo mana wao kama wao hawapendi kulizungumzia bif lao na wanakili kuna watu wasiowatakia mema wanawafitnisha.siku watakapopatana na kufanya kazi moja ndo sijui itakua mwisho Wa team kiba na team diamond.ngoja tuone
 
Haaaaaaaaaaaaa its not a laughing matter ila yanipasa kucheka........

MNAFIKI nambari moja nimeingia... endelea kuweweseka nishasema sibanduki

halafu kama matusi nayaweza saaaaaaaana..., umeishiwa hoja unaanza kutukana BUHAHAAAAAA

Oooopss na ukishatukana ndo inakuwaje labda au inakufaidia nini kwa mfano????

Na kwa taarifa yako matusi huyaweziiiii na kama unayaweza huna haja ya kujinadiiiii......ebu tomboka tuyaone ka ni mapya au ya kizamani!!
 
Oooopss na ukishatukana ndo inakuwaje labda au inakufaidia nini kwa mfano????

Na kwa taarifa yako matusi huyaweziiiii na kama unayaweza huna haja ya kujinadiiiii......ebu tomboka tuyaone ka ni mapya au ya kizamani!!

hahahahaha lo jf raha bakuli la maneno
 
Back
Top Bottom