Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Heheheee natamani ungekuwepo wakati thread inaanza tulivamiwa hapa hadi tulichoka...

yaani pia huu uzi nimekuja kuuona ushajaa tayar nikasema sikubali ngoja nami nichangie mana nampenda kiba kufa
 
ally kiba si mtu mzuri kabisa katika tasnia ya mziki..dah!yaani ngoma moja ya mwana dar es salaam kamfanya mwenzake akaribie kutoa nyimbo kama tisini hivi kwa wakati mmoja na video za gharama dah!........nimeisikia hiyo ngoma aliyotoa jamaa leo dah!nilidhani underground gani sijui yaani ashukuru kichupa kakitendea haki!....kiba akitoa remix ya mwana na kichupa kikali stress zitawazidi kwani huu wimbo alioutoa ni kama kamtoa kipa golini ni yeye tu ali kiba kulenga!
 
ally kiba si mtu mzuri kabisa katika tasnia ya mziki..dah!yaani ngoma moja ya mwana dar es salaam kamfanya mwenzake akaribie kutoa nyimbo kama tisini hivi kwa wakati mmoja na video za gharama dah!........nimeisikia hiyo ngoma aliyotoa jamaa leo dah!nilidhani underground gani sijui yaani ashukuru kichupa kakitendea haki!....kiba akitoa remix ya mwana na kichupa kikali stress zitawazidi kwani huu wimbo alioutoa ni kama kamtoa kipa golini ni yeye tu ali kiba kulenga!

yaani stres zimewazidi mi sijauskia wekeni link bas tuuskie
 
yaani pia huu uzi nimekuja kuuona ushajaa tayar nikasema sikubali ngoja nami nichangie mana nampenda kiba kufa

Usijali mwaya maana kama ni ngoma ndio kwaaanza imeanza,hapa tunawaacha wariiinge weee subiri Kiba atoe video uone watakavyoanza kutapatapa....hahahaaa
 
ally kiba si mtu mzuri kabisa katika tasnia ya mziki..dah!yaani ngoma moja ya mwana dar es salaam kamfanya mwenzake akaribie kutoa nyimbo kama tisini hivi kwa wakati mmoja na video za gharama dah!........nimeisikia hiyo ngoma aliyotoa jamaa leo dah!nilidhani underground gani sijui yaani ashukuru kichupa kakitendea haki!....kiba akitoa remix ya mwana na kichupa kikali stress zitawazidi kwani huu wimbo alioutoa ni kama kamtoa kipa golini ni yeye tu ali kiba kulenga!

Hahaaa muuza sura unajua mpaka unaboa bwana...nakukubalije sasa???
Hebu nisaidie katika hili maana nakumbuka FA na Kiba walivyotoa kiboko yangu kuna wimbo wa diamond niliuona huko mkito ila nikaupotezea...ndio huu?
 
Huu Uzi unanishangaza sana title ni ally kibba ila content inamzungumzia diamond

sasa ww unazan wana kp cha kuongea zaid kuhusu al k,kba n tunda la mcmu na mcmu wake n kwenye fiesta baada ya hapo n diamond tu had fiesta nyngne mwakan
 
yaani stres zimewazidi mi sijauskia wekeni link bas tuuskie

Mh!my dear gen...uko serious na Kiba kweli?unataka link ya huyo mpuuzi iwekwe hapa ya nini?Mimi sihangaiki kuutafuta YouTube wala mkito ya nini nikamuongezee viewers?nausubiri nitauona kwenye TV basi....

Mimi mwenzio huko wasap nilishaweka status kabisa sitaki mtu anitumie kitu chochote kinachomhusu huyo mpuuzi
 
Mh!my dear gen...uko serious na Kiba kweli?unataka link ya huyo mpuuzi iwekwe hapa ya nini?Mimi sihangaiki kuutafuta YouTube wala mkito ya nini nikamuongezee viewers?nausubiri nitauona kwenye TV basi....

Mimi mwenzio huko wasap nilishaweka status kabisa sitaki mtu anitumie kitu chochote kinachomhusu huyo mpuuzi

hahahaaaaaaaa mpaka wassap humtaki
 
ally kiba si mtu mzuri kabisa katika tasnia ya mziki..dah!yaani ngoma moja ya mwana dar es salaam kamfanya mwenzake akaribie kutoa nyimbo kama tisini hivi kwa wakati mmoja na video za gharama dah!........nimeisikia hiyo ngoma aliyotoa jamaa leo dah!nilidhani underground gani sijui yaani ashukuru kichupa kakitendea haki!....kiba akitoa remix ya mwana na kichupa kikali stress zitawazidi kwani huu wimbo alioutoa ni kama kamtoa kipa golini ni yeye tu ali kiba kulenga!

You nailed it all, mimi leo nimeona na kusikiliza vizuri huyu dogo badala ya kwenda mbele sasa naona anarudi nyuma. Video inaonekana iko fresh.

Kusema ukweli leo hii kwa upepo uliopo ndio ilibidi atoke na my number one aliyoimba na Davido ndio angeweza kuwashika, lakini atapata sapoti za kishabiki tu lakini ukweli nyimbo hamna kitu, na ni dhahiri amekubali kitorondo imeshindwa kucompete na Mwanadaresalame.
 
You nailed it all, mimi leo nimeona na kusikiliza vizuri huyu dogo badala ya kwenda mbele sasa naona anarudi nyuma. Video inaonekana iko fresh.

Kusema ukweli leo hii kwa upepo uliopo ndio ilibidi atoke na my number aliyoimba na Davido ndio angeweza kuwashika, lakini atapata sapoti za kishabiki tu lakini nyimbo hamna kitu, na ni dhahiri amekubali kitorondo imeshindwa kucompete na Mwanadaresalame.

Kuna siku shabiki wake maandazi alikuja kututisha eti jamaa ana stock ya nyimbo kali hatariiii hadi haelewi atoe upi kwanza....Mimi pia nimewahi kumuona ndomo kapost insta eti ana mawe kibao tatizo management yake inambania...

Sasa jiulize katika hiyo stock huu aliorelease leo ndio the best among the rest kuna nini hapo?
Naona leo Kiba huko aliko amecheka hadi mbavu zinamuuma
 
Kuna siku shabiki wake maandazi alikuja kututisha eti jamaa ana stock ya nyimbo kali hatariiii hadi haelewi atoe upi kwanza....Mimi pia nimewahi kumuona ndomo kapost insta eti ana mawe kibao tatizo management yake inambania...

Sasa jiulize katika hiyo stock huu aliorelease leo ndio the best among the rest kuna nini hapo?
Naona leo Kiba huko aliko amecheka hadi mbavu zinamuuma

Kwakweli kwa kwa style hii Diamond asichoke kuimba na Davido hii nyimbo hata ukilazimisha promo ni kazi bure kabisa, kumbe ndio maana Jose Chamilion akawa mbogo alipotaka kuwekwa level moja na huyu Billionare wetu wa Manzese.
 
Kuna siku shabiki wake maandazi alikuja kututisha eti jamaa ana stock ya nyimbo kali hatariiii hadi haelewi atoe upi kwanza....Mimi pia nimewahi kumuona ndomo kapost insta eti ana mawe kibao tatizo management yake inambania...

Sasa jiulize katika hiyo stock huu aliorelease leo ndio the best among the rest kuna nini hapo?
Naona leo Kiba huko aliko amecheka hadi mbavu zinamuuma

wana stress yaani badala ya kidiscuss wimbo wanamdiscuss kiba duh
 
Back
Top Bottom