Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Babu mbea na muongo aliyekubuhu tena mzushi ndo mana ana viswaga vya kibabu
Mhhh shoga sikuambii kitu tena kuhusu babu baby ako kaniita mchonganishi...isijekua nampeperushia ndege bureee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Babu mbea na muongo aliyekubuhu tena mzushi ndo mana ana viswaga vya kibabu
Bundle itatoa watu rohoo!Chinga babu hupatiiii ng'ooo
never ever
Huyo mshamba hata kununuwa single ya domo Mkito anashindwa anataka member wengine wanunuwe ndio waweke kwenye uzi wao.
Wapendwa uongozi wa JF officialy wana taarifa ya zawadi hii na Moderator ndio atahusika kumtangaza na kumtumia Ally Kiba fan atakayebahatika zawadi ya kifurushi,na kifurushi chenyewe ni hicho namba 2 cha mwezi. Hiyo ni kwa wale tunaotumia airtel kama upo mtandao mwingine utarushiwa thamani sawa na utajiju hukohuko na mtandao wako.
Nadhani nimeeleweka.
Moderator,plz fanya hima kunitangaza mie!!Matola tisha sanaa!!
Hahahaaa mpambano ni mkali hatariii...nani amabaye hataki???
Unajua Petit Man ni rafiki mkubwa wa Chalz Baba, na alianza kuwa karibu na Wema alipokuwa mpenzi wa Chalz Baba. Sasa ile hali imemfanya Nassib asiwe na amani na Petit Man.
Sasa Petit Man kazidi kumtia hasira Nassib kwa kumgongea dada ake, na nasikia kampiga mimba ndo akalamishwa amuoe, ilipopangwa tarehe ya harusi tu Nassib akaondoka Bongo ili asihudhurie.
Ova
True dat. .yule mtoto yale ndo maisha aliyoyachagua mwisho wa siku kila mwanaume hapa town atakuwa shemeji yake maana wema somo la kukataa mwanaume ana F
Nisamehe babu sirudii tena!!!
Mpendwa hii kitu mpaka mtaa wa pili imewachanganya na kuwauma sana aisee!!,Kiba anatisha sana,kwa mtindo huu hata nikiitwa shabiki chapati sijali katu wala sijutii kuwa shabiki wa Kiba napenda kazi zake hataree,Ally mpole sanaa!
Jamanii,usinambiee!so Domo pale wala hakupata shida?
Gang Chomba kwa kweli sijui yuko wapi ni muda mrefu hapatikani hapa jamvini, huyu ni mwana Sinza kwa wajanja ndani ya Abajalo Team.Huu uzi kwa watoto wa town kakosekana baharia gang chomba
Huu uzi kwa watoto wa town kakosekana baharia gang chomba
Nime kusamehe mjukuu wangu.
True dat. .yule mtoto yale ndo maisha aliyoyachagua mwisho wa siku kila mwanaume hapa town atakuwa shemeji yake maana wema somo la kukataa mwanaume ana F
Unajua Petit Man ni rafiki mkubwa wa Chalz Baba, na alianza kuwa karibu na Wema alipokuwa mpenzi wa Chalz Baba. Sasa ile hali imemfanya Nassib asiwe na amani na Petit Man.
Sasa Petit Man kazidi kumtia hasira Nassib kwa kumgongea dada ake, na nasikia kampiga mimba ndo akalamishwa amuoe, ilipopangwa tarehe ya harusi tu Nassib akaondoka Bongo ili asihudhurie.
Ova