Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Hawezi kukupiga nchale yule anaweza kudaka chamaki changa tu debe tupu yule
Hahahaaa eti chamaki nchanga...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawezi kukupiga nchale yule anaweza kudaka chamaki changa tu debe tupu yule
Ana tezi dume huyu linamuwashawasha nani alisema anamchukia Mondi!!sisi tunasema tunampenda Kiba sasa kama kinyume chaKe ni kumchukia mwingine sikujua!!Lazima mujeeee tyuuu!!Kwendraaaa,kuna mnafiki kama wewe hapa JF?
nakshi nakshi mrembo ulowatosa matoz na vigogo ukaja kwangu ukawapa visogoo..... i love the song
Kweli nimeamini usipotia maguu kwenye uzi huu Wananchi ni lazima waamini umeishiwa bundle.
nimeamini maisha bila Unafki hayaendi...huu uzi ndo unaitwa ally kibaz special thread lakini unamjadili Dai na familia yake...halafu watu haohao wanakwambia Hawampendi Dai
Maisha bila Unafki hayaendi.............
tunapta ili tuangalie mmemjadl nn daimond na tunashangaa mnamjua diamond kulko sisi mashabk wake au ndo nguruwe sili lakn mchuzi wake nakula,kweli story za daimond tamu na hazichoshi
Tusingemjuwa Diamond ingekuwa ni uchizi kusema Kiba ni zaidi.
Huwezi kuwa haupajui New york halafu ulete ubishi Dar esalaam ni mji wa kisasa kuliko New york.
Tusingemjuwa Diamond ingekuwa ni uchizi kusema Kiba ni zaidi.
Huwezi kuwa haupajui New york halafu ulete ubishi Dar esalaam ni mji wa kisasa kuliko New york.
Tusingemjuwa Diamond ingekuwa ni uchizi kusema Kiba ni zaidi.
Huwezi kuwa haupajui New york halafu ulete ubishi Dar esalaam ni mji wa kisasa kuliko New york.
tunapta ili tuangalie mmemjadl nn daimond na tunashangaa mnamjua diamond kulko sisi mashabk wake au ndo nguruwe sili lakn mchuzi wake nakula,kweli story za daimond tamu na hazichoshi
we unadhan watajadl nn hapa?kba tangu fiesta iishe hana jpya so tuwaache tu waendelee kumjadl diamond
Kweli sasa naamini mtaa wa pili wote mko huko nanjilinji....
Asiyemjua diamond mjini hapa nani hadi ushangae sisi kumjua sana?
Tulia wewe watu tuna info zake hadi alivyokua anakunywa gongo kabla hajatoka basi tu hatusemi....
kwa hal h diamond ataendelea kuwa star wa tz had afe,me nljua magazet ya shgongo tu ndo yanapenda story zake kumbe hata wanaomchukia kutwa kumuongelea yy utadhan tz celebrity n yy tu
hata mtoto mdogo anajua nairob n mj wa ksasa kulko dar es salam sembuse new york?haihtaj elm hata ya shule ya nasary kuljua hlo.
hata mtoto mdogo anajua nairob n mj wa ksasa kulko dar es salam sembuse new york?haihtaj elm hata ya shule ya nasary kuljua hlo.
Uwiiiii hii arsenal itaniua jamani,why arsenal....why?ngojeni nikajipoze machungu jamani...
Zaa katoto, uko too low hata kuandika tu hujui kajifunze kwanza kuandika ndio uje hapa kubishana na kaka zako, hapo unatumia keyboard/keypad una mwandiko mbaya namna hii sasa ukitumia pen si ndio hekaheka?