Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kumbe tuko chama moja...
Zaa katoto, uko too low hata kuandika tu hujui kajifunze kwanza kuandika ndio uje hapa kubishana na kaka zako, hapo unatumia keyboard/keypad una mwandiko mbaya namna hii sasa ukitumia pen si ndio hekaheka?
Acha story za vijiweni wewe,huyo mtoto mdogo anajua kupitia story zenu nyinyi
poleeeee mama, inabidi tu uzoee, ckiliza mwana ikusahaulishe machungu mwaya
Na bado anakuwa hajui bali anasikia tu hear say, kujuwa ni kuona.
Johanesburg ni mji uliojengwa copy and past ya New york na ukiniuliza mimi kati ya Johannesburg na Lisbon ni mji gani wa kisasa nitakujibu ni Johannesburg huyo bwegge hawezi kukupa jibu kwa sababu hajafika sehemu hizo ili kufanya comparison.
Wala sijakosea, nimeandika makusudi kabisa.
Hahahaaa mtaa wa pili wanahaha hadi mtu anajiquote mwenyewe....Kiba anaumiza watu vibaya sana
Id yako imekaa kishamba sana,sishangai Matola kukosea...hata ningekua mimi yangekua hayohayo
Na bado anakuwa hajui bali anasikia tu hear say, kujuwa ni kuona.
Johanesburg ni mji uliojengwa copy and past ya New york na ukiniuliza mimi kati ya Johannesburg na Lisbon ni mji gani wa kisasa nitakujibu ni Johannesburg huyo bwegge hawezi kukupa jibu kwa sababu hajafika sehemu hizo ili kufanya comparison.
we mwenyewe ----- vlevle,et unajcfia umefka jobeg kwan hzo nch zpo nje ya dunia kwamba watu wanaofka huko n watu wenye bahat.