Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Zaa katoto, uko too low hata kuandika tu hujui kajifunze kwanza kuandika ndio uje hapa kubishana na kaka zako, hapo unatumia keyboard/keypad una mwandiko mbaya namna hii sasa ukitumia pen si ndio hekaheka?

Haha haaaaa
 
zaa katoto ndo nan sasa,ww mwenyewe unaonyesha hujui kusoma na kuandika.kaanze shule japo memkwa itakusaidia

Id yako imekaa kishamba sana,sishangai Matola kukosea...hata ningekua mimi yangekua hayohayo
 
Last edited by a moderator:
Acha story za vijiweni wewe,huyo mtoto mdogo anajua kupitia story zenu nyinyi

Na bado anakuwa hajui bali anasikia tu hear say, kujuwa ni kuona.

Johanesburg ni mji uliojengwa copy and past ya New york na ukiniuliza mimi kati ya Johannesburg na Lisbon ni mji gani wa kisasa nitakujibu ni Johannesburg huyo bwegge hawezi kukupa jibu kwa sababu hajafika sehemu hizo ili kufanya comparison.
 
Na bado anakuwa hajui bali anasikia tu hear say, kujuwa ni kuona.

Johanesburg ni mji uliojengwa copy and past ya New york na ukiniuliza mimi kati ya Johannesburg na Lisbon ni mji gani wa kisasa nitakujibu ni Johannesburg huyo bwegge hawezi kukupa jibu kwa sababu hajafika sehemu hizo ili kufanya comparison.

Haha haaaa analeta story za vijiweni hapa anadhani kuna bush men wenzie....story hizo apeleke kwao kijijini mtaa wa pili
 
Hahahaaa mtaa wa pili wanahaha hadi mtu anajiquote mwenyewe....Kiba anaumiza watu vibaya sana
 
Hahahaaa mtaa wa pili wanahaha hadi mtu anajiquote mwenyewe....Kiba anaumiza watu vibaya sana

HAaaa haaaa!!na bado aisee!nakwambiaje hapa lazima wajeee!!Ni sawa ambavo wanamkubali Kiba mioyoni ila hawawezi sema
 
we mwana wewe mwana, mwana jeuri sanaaa, ulichokifuata hukupata umekosa ulivyo acha.., nauckiliza hapa najickia burudaaani
 
Na bado anakuwa hajui bali anasikia tu hear say, kujuwa ni kuona.

Johanesburg ni mji uliojengwa copy and past ya New york na ukiniuliza mimi kati ya Johannesburg na Lisbon ni mji gani wa kisasa nitakujibu ni Johannesburg huyo bwegge hawezi kukupa jibu kwa sababu hajafika sehemu hizo ili kufanya comparison.

we mwenyewe ----- vlevle,et unajcfia umefka jobeg kwan hzo nch zpo nje ya dunia kwamba watu wanaofka huko n watu wenye bahat.
 
we mwenyewe ----- vlevle,et unajcfia umefka jobeg kwan hzo nch zpo nje ya dunia kwamba watu wanaofka huko n watu wenye bahat.

Zaa katoto, usipanic huwezi kuzuia mvuwa ili kujuwa Moshi na Arusha ni mji upi unaongoza kwa usafi ni lazima ufike sehemu hizo na siyo kuhadhiwa kijiweni au salon.

Last but list ongeza bidii kwenye kujifunza kuandika usidhani hapa unadeal na watoto wenzako.
 
Back
Top Bottom